Jana nilikuwa nikitazama kipindi cha kiislamu kwenye televisheni ya Chaneli 10. Suala la mali katika ndoa za dini hiyo lilikuwa likijadiliwa. Kwamba Kiislam, mali katika ndoa si suala la wanandoa kwa pamoja. Kwamba mali anazoingia nazo mwanandoa kwenye ndoa, zinabaki kuwa zake mwenyewe. Na wakiachana, kila mmoja anaondoka na alichokuja nacho. Hata ndani ya ndoa, mali zinapatikana 'separately' kwa maana ya kwamba kila anachopata mwanandoa hicho ni haki yake yeye mwenyewe. Wakitengana, kila mtu anaondoka na vyake. Katika kufakari hayo, nilijaribu kumfikiria mwanamke na nafasi yake katika ndoa. Nikamwona kama kiumbe anayenyanyaswa na dini. Kwa nini? Wanaume wengi hutafuta mali kwanza ndio waoe, na hata wanapooa, huwaoa wanawake watakaowategemea wao. Katika hali hii nini salama ya mwanamke katika dini inayoruhusu talaka? Hizi si dalili za wazi za ukandamizaji wa jinsia ya kike?
hapo ipo kazi je kuna usalama kwani naona kama kitanda hapo.
JibuFutahapo ipo kazi je kuna usalama kwani naona kama kitanda hapo.
JibuFutaBwaya,
JibuFutaJe hii imetokea waoi?
Je kulikuwa na maafa?
hebu tujuze basi, mkasa mzima juu ya habari hii.
Kweli kabisa nakubaliana na kaka Shaban hapo kwamba TUJUZE lakini kuna watu kama siyo vijitu havisikii kama siyo hawaelewi labda hawajaelewa. Lakini kweli hii ni hatari
JibuFutaWadau,
JibuFutaAliyekuwa mmiliki wa hayo mabaki ya simu na kitanda kinachoonekana, alikuwa akiongea na simu hali ikiwa imeunganishwa kwenye umeme. Ikalipuka. Akafa.
Tunajifunza nini? Je, tunajua maafa yanayoambatana na matumizi ya simu?
siamini chris kweli tena hii ni kututisha tu
JibuFutaEbwanaee,kwa sasa kompyuta za mapajani,simu vimekuwa ni kama ulevi nchi hizi.Hapa udosini majuzi mzee mmoja kaungua sikio na sehemu ya kichwa upande wa kuume baada ya kulipukiwa na simu.
JibuFutaJamaa wanawalaumu wachina kwa bidha zao kuwa haizna ubora wa kutosha.Ulevi wa hivyo vitu umeanza kuniandama.
Ebwanaee,kwa sasa kompyuta za mapajani,simu vimekuwa ni kama ulevi nchi hizi.Hapa udosini majuzi mzee mmoja kaungua sikio na sehemu ya kichwa upande wa kuume baada ya kulipukiwa na simu.
JibuFutaJamaa wanawalaumu wachina kwa bidha zao kuwa haizna ubora wa kutosha.Ulevi wa hivyo vitu umeanza kuniandama.
Chrissie na Edigio, huu ni upande wa pili wa teknojia. Si utani. Kompyuta zinapofusha. Kompyuta za mapajani zinaharibu mbegu za kiume, simu ndiyo hivyo. Kila kitu kina pande mbili.
JibuFuta