Unapojielewa nini huwa kimetokea?

Kujielewa. Tunasisitiza sana kujielewa. Lakini je, kujielewa maana yake nini? Unapoelewa jambo nini hasa huwa kimetokea katika ufahamu wako? Je, kuna tofauti gani iliyopo unapolinganisha kabla hujaelewa na baada ya kuelewa jambo?

Je, twaweza kuelewa na/au kujua kila kitu? Je, upo ukomo (limit) wa uelewa?

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Tunavyoweza Kuacha Tabia ya Kuhukumu Wengine

Uislamu ulianza lini?

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Dan Vinci Code: Ukweli unaouma?

Kwa nini ndoa za siku hizi hazidumu?