Unapojielewa nini huwa kimetokea?

Kujielewa. Tunasisitiza sana kujielewa. Lakini je, kujielewa maana yake nini? Unapoelewa jambo nini hasa huwa kimetokea katika ufahamu wako? Je, kuna tofauti gani iliyopo unapolinganisha kabla hujaelewa na baada ya kuelewa jambo?

Je, twaweza kuelewa na/au kujua kila kitu? Je, upo ukomo (limit) wa uelewa?

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Namna ya kukopeshwa kirahisi na kuchangiwa michango ya harusi na marafiki

Strictly gospel na mijadala ya kiimani

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Unaona nini kwenye picha hii?

Uislamu ulianza lini?

Kwa nini watu huongopa?