Ukweli ni lazima uwe uhalisi?

Uhalisi (reality) ni nini , na unatofautianaje na ukweli (truth)? Je, uhalisi lazima uwe ukweli? Je, kila ukweli ni halisi? Je, utajuaje kuwa unachojua ni uhalisi usio ukweli ama ukweli usio uhalisi?

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Uislamu ulianza lini?

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Pay $900? I quit blogging

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Padre Karugendo kakosea kipi hasa?

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?