Je, umewahi kuiadhibu nafsi yako mwenyewe?

Wajibu ni nini? Haki ni nini? Je, waweza kudai haki fulani fulani kutoka katika nafsi yako mwenyewe? Je, waweza kujiadhibu wewe mwenyewe kwa kutokutimiza wajibu fulani? Je, ni sahihi kudai haki (zako) kutoka kwa wengine, wakati (wewe mwenyewe) hujitendei haki? Tujielewe.

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Heri ya mwezi mpya!

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Huu si udhaifu wa kiume?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Je! Yesu ni Mungu?

Nuru anakuuliza: "...Sura yako hasa ni ipi?"