Je, umewahi kuiadhibu nafsi yako mwenyewe?

Wajibu ni nini? Haki ni nini? Je, waweza kudai haki fulani fulani kutoka katika nafsi yako mwenyewe? Je, waweza kujiadhibu wewe mwenyewe kwa kutokutimiza wajibu fulani? Je, ni sahihi kudai haki (zako) kutoka kwa wengine, wakati (wewe mwenyewe) hujitendei haki? Tujielewe.

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Ukiigiza Ukatili, Unakaribisha Tabia ya Ukatili

Strictly gospel na mijadala ya kiimani

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Unajua wanyaturu walipangaje uzazi?

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3