Mbinu za Kushinda Maswali ya Usaili wa Kazi - 1
Kama tulivyoona katika makala yajuma lililopita , usaili ni hatua ya mwisho kuelekea kupata kazi. Sehemu kubwa ya usaili ni maswali na majibu yanayolenga kupima uwezo wako wa kukabiliana na changamoto halisi za kazi. Ingawa yapo maswali yanayoweza kukupa wasiwasi wa nia ya mwuulizaji, fahamu kuwa hakuna swali linaulizwa kwa nia mbaya au kwa bahati mbaya. Kila swali linaloulizwa linalenga kutafuta uthibitisho kuwa wewe ni mtu sahihi kwa kazi unayoomba.

Nitakisaka sana. maana nimesoma kile THINK BIG duh! kali sana, napenda mno. Kazi nzuri kaka. Next Time bro
JibuFutaNimesoma vitabu vyake kadhaa, tatizo langu ingawa labda halihitajiki kuwa tatizo ni kwamba nikimsoma najua ni mkristo halafu ni msabato wakati anaongelea mambo ya kawaida. Hiki kipya kikoje?
JibuFutaNapenda lakini vitabu vyake ila huwa nastukia kirahisi nini nguzo yake kitu kinifanyacho niwaze !:-(