Mazungumzo na Kamala Luta

Siku chache zilizopita nilipata bahati ya kufanya mazungumzo mafupi na Bw. Kamala Luta, mwanablogu machachari ambaye si mara moja amewahi kuibua mijadala mizito kupitia maoni yake huru ama makala kwenye blogu yake.

Kaa mkao wa kula. Nitayachapisha mazungumzo yake mapema sana namalizia kuweka koma, nukta na funga semi.

Maoni

  1. Mwanzo mzuri! nayasubiri kuyasoma mazungumzo yenu.

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Pay $900? I quit blogging

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Uislamu ulianza lini?

Unaona nini kwenye picha hii?

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Kikao cha tathmini na mipango ya familia