Methali! Methali!

Wahenga walilonga:
" La kuvunda..."

Maoni

  1. DUH! UMEBADILISHA KICHWA CHA HABARI?

    AU.......

    JibuFuta
  2. La kuvunda halina ubani!
    Utalipatia ubani gani la kuvunda? Llikishavunda harufu yake ndo marashi yake tena.

    JibuFuta
  3. Koero, sijabadili. Pengine ni kwa sababu nimepost zote na hiyo ya juu kwa muda unaokaribiana!

    Subi, labda tuliweke kwenye jokofu, waonaje?

    JibuFuta
  4. La kuvunda halina ubani, kifo hakina kinga,
    la kuvunda! Hata ukiliweka kwenye jokofu , litavunda tu, la kuvunda, hata kama sio leo, wala kesho, hata mtondo go, iko siku litavunda tu, kuliweka jokofuni, waliongezea tu siku za kutovunda! lakini litavunda tu.

    JibuFuta
  5. La Kuvunda halina ubani

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Heri ya mwezi mpya!

Uislamu ulianza lini?

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Huu si udhaifu wa kiume?