Nakutakieni mapumziko mema ya juma

Poleni na majukumu mazito ya juma zima. Wafanyakazi wa ofisi zote, hongereni sana. Wanaharakati wote, hongera sana. Wanafunzi wote kaza buti. Na wasomaji wote kwa ujumla, amani iwe nanyi nyote.

Naitumia wikiendi hii kudesa pale kwa Prof. Matondo. Dokta mtarajiwa Chahali katuwekea desa muhimu pale. Usikose kupepesa macho pale. Hongera sana Chahali.


Nakupendeni nyote.

Maoni

  1. Asante nakutakia nawe pia. Ni jambo nzuri sana ulilofanya kutakiana mapumziko mema ya juma.

    JibuFuta
  2. Nashukuru sana kaka Bwaya, hakika wikiendi ni njema

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Heri ya mwezi mpya!

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?