Nakutakieni mapumziko mema ya juma

Poleni na majukumu mazito ya juma zima. Wafanyakazi wa ofisi zote, hongereni sana. Wanaharakati wote, hongera sana. Wanafunzi wote kaza buti. Na wasomaji wote kwa ujumla, amani iwe nanyi nyote.

Naitumia wikiendi hii kudesa pale kwa Prof. Matondo. Dokta mtarajiwa Chahali katuwekea desa muhimu pale. Usikose kupepesa macho pale. Hongera sana Chahali.


Nakupendeni nyote.

Maoni

  1. Asante nakutakia nawe pia. Ni jambo nzuri sana ulilofanya kutakiana mapumziko mema ya juma.

    JibuFuta
  2. Nashukuru sana kaka Bwaya, hakika wikiendi ni njema

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

UmahiriHisia (Emotional Intelligence) ni Nini?

Jifunze Uhusiano wa Malezi na Vilema vya Haiba (Personality Disorders)

Kutumia UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Kuelewa Unavyojisikia

Kutumia UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Kuimarisha Mahusiano

UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Unavyosaidia Kurekebu na Kumudu Hisia

UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Unavyochochea Motisha na Kujituma