Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Haki za Mtoto

Madhara ya Kumpeleka Mtoto Shule ya Bweni

Picha
PICHA: Daily Maverick Moja wapo ya sababu nyingi zinazowasukuma wazazi kuwapeleka watoto wadogo kusoma shule za bweni ni mafanikio ya taaluma. Mazingira ya shule yanaaminiwa kuwa bora zaidi katika kuwasaidia watoto kufanya vizuri zaidi kuliko wanapokuwa nyumbani.

Wajibu wa Mzazi kwa Mtoto Kisheria -2

Picha
SHERIA ya Mtoto Na. 21 ya 2009 inamtambua mtoto kama mtu yeyote mwenye miaka pungufu ya 18. Sheria hii ilitungwa kukidhi matakwa ya makubaliano na mikataba ya kimataifa inayolenga kulinda haki, maslahi na ustawi wa mtoto.