Yatambue Madhara ya Adhabu ya Bakora

INGAWA wazazi wengi huwachapa watoto wakiamini wanafanya hivyo kwa lengo la kuwaadabisha, tulibainisha sababu zilizojificha. Kwa ujumla, tunaweza kusema mzazi aliyelelewa kwa fimbo hujikuta na yeye akiamini fimbo ndio suluhu ya matatizo ya kinidhamu anayoyaona kwa mwanae.