Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba, 2010

Familia ya Lowassa yachunguzwa Ughaibuni

Picha
MTOTO wa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa anayeitwa Frederick Lowassa anachunguzwa na Kitengo Maalumu cha Polisi wa Kimataifa wa Uingereza wanaofuatilia utata wa uhamishaji fedha kutoka Tanzania, Raia Mwema limedokezwa. Kwa habari zaidi bonyeza hapa .

Pendekezo la kitabu

Picha
Kama unataka kujielewa, kitafute hiki.