Mkaribishe mwanablogu mpya wa dini/imani


Naomba kufahamisha blogu mpya yenye kugusa zaidi maisha na mienendo ya watu. Baadhi ya watu watakuwa wamemsoma Mhandisi na Mwelimishaji ndugu Sabato E. Tarimo katika gazeti la MsemaKweli kwenye makala zake mbalimbali. Sasa amejikita katika ulimwengu wa blogu ili kuwafikia wengi zaidi hasa wale wanaoishi nje ya Tanzania. Bonyeza hapa kumsoma.

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

UmahiriHisia (Emotional Intelligence) ni Nini?

Jifunze Uhusiano wa Malezi na Vilema vya Haiba (Personality Disorders)

Kutumia UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Kuelewa Unavyojisikia

Kutumia UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Kuimarisha Mahusiano

UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Unavyosaidia Kurekebu na Kumudu Hisia

UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Unavyochochea Motisha na Kujituma