Mkaribishe mwanablogu mpya wa dini/imani


Naomba kufahamisha blogu mpya yenye kugusa zaidi maisha na mienendo ya watu. Baadhi ya watu watakuwa wamemsoma Mhandisi na Mwelimishaji ndugu Sabato E. Tarimo katika gazeti la MsemaKweli kwenye makala zake mbalimbali. Sasa amejikita katika ulimwengu wa blogu ili kuwafikia wengi zaidi hasa wale wanaoishi nje ya Tanzania. Bonyeza hapa kumsoma.

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Heri ya mwezi mpya!

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?