Nakutakieni mapumziko mema ya juma

Poleni na majukumu mazito ya juma zima. Wafanyakazi wa ofisi zote, hongereni sana. Wanaharakati wote, hongera sana. Wanafunzi wote kaza buti. Na wasomaji wote kwa ujumla, amani iwe nanyi nyote.

Naitumia wikiendi hii kudesa pale kwa Prof. Matondo. Dokta mtarajiwa Chahali katuwekea desa muhimu pale. Usikose kupepesa macho pale. Hongera sana Chahali.


Nakupendeni nyote.

Maoni

  1. Asante nakutakia nawe pia. Ni jambo nzuri sana ulilofanya kutakiana mapumziko mema ya juma.

    JibuFuta
  2. Nashukuru sana kaka Bwaya, hakika wikiendi ni njema

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Tumia Mbinu Hizi Kuelewa Unachokisoma -3

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Uislamu ulianza lini?

Namna ya kukopeshwa kirahisi na kuchangiwa michango ya harusi na marafiki

Pay $900? I quit blogging