Mkaribishe mwanablogu mpya wa dini/imani


Naomba kufahamisha blogu mpya yenye kugusa zaidi maisha na mienendo ya watu. Baadhi ya watu watakuwa wamemsoma Mhandisi na Mwelimishaji ndugu Sabato E. Tarimo katika gazeti la MsemaKweli kwenye makala zake mbalimbali. Sasa amejikita katika ulimwengu wa blogu ili kuwafikia wengi zaidi hasa wale wanaoishi nje ya Tanzania. Bonyeza hapa kumsoma.

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Heri ya mwezi mpya!

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Huu si udhaifu wa kiume?

Je! Yesu ni Mungu?

Urafiki unawezekana bila ngono?