Kutumia UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Kuimarisha Mahusiano
Tunamalizia safari yetu ya kujifunza umahirihisia. Tumeangazia maeneo makubwa manne. Kwanza, uelewa wa hisia na sababu zake. Pili, tulitazama namna ya kurekebu hisia zetu. Kisha tukatazama namna tunavyoweza kujenga motisha na hamasa ya kufikia malengo yetu. Kisha tukaangalia namna umahirihisia unavyotuwezesha kuwasiliana na watu pasipokuzalisha migogoro isiyo na sababu.
Maeneo haya manne ya umahirihisia, yanatafsirika katika mahusiano yetu na watu —namna tunavyowachukulia wasioamini tunachokiamini, namna tunavyowajibu wasiofikiri kile tunachokifikiri, namna tunavyotatua migogoro na maamuzi tunayochukua pale tunapojisikia kuonewa.
Msingi wa mahusiano yenye tija na watu ni uwezo wako wa kujitambua, kutambua namna hisia na tabia zako zinavyoathiri wengine, namna unavyomudu hisia zako lakini pia kiwango chako cha upendo kwa watu. Mtu mwenye #UmahiriHisia hagombani kirahisi. Ukigombana naye anajua namna ya kujinasua na kukuachia ugomvi wako, anajua kukutanisha na ujinga wako, akakuacha ukigombana na kivuli chako, anajua kumaliza tofauti bila kuacha maumivu.
Kadhalika, mahusiano, kwa kiasi kikubwa, yanajengwa na mawasiliano. Kuna tabia ukiwa nazo wakati wa mazungumzo zinaweza kutuma ujumbe hasi kuwa hujali, husikilizi, huna haja ya kuelewa hali inayoweza kuleta kiambaza kikubwa cha mawasiliano. Tukizungumzia umahirihisia, tunazungumzia pia namna unavyoweza kumfanya ajisikie kuthaminika, kusikilizwa na kueleweka.
Tuone, kwa ufupi, baadhi ya tabia zinazoweza kujenga kiambaza cha mawasiliano na hivyo kuharibu mahusiano yako na watu:
Kukosa usikivu
Unazungumza na mtu na huonekani kuwa naye kiakili na kihisia. Upo lakini haupo hata kama husemi. Unapapasa simu, unapepesa macho kuwaangalia wanaopita au kuendelea na shughuli nyingine.
Kujikweza
Mwenzako anakusimulia jambo lake, lakini kwa kufikiri unachangia hoja, unaleta simulizi lako linalowaondoa kwenye jambo alilokuwa analizungumza. “Hilo mbona dogo sana? Sikiliza kilichonitokea mimi uone.”
Kushauri
Saa nyingine hata hujaombwa maoni, unadakia juu juu jambo la mtu na maelezo ya nini kifanyike au swali lenye ushauri, “Nadhani hapa ukafanye…” “Kwa nini hukufanya…” “Ulikuwa unafikiri nini kufanya hiki ulichofanya…”
Kufariji kwa kupuuza hisia
Tunahitaji faraja lakini ndio upuuze hisia za mtu? Mtu tayari ana hisia hata ukimwelekeza kuzipuuza anazo. “Usiogope. Usijisikie vibaya. Jikaze kiume.”
Huruma inayotia unyonge
Huruma sawa lakini ndio umhurumie mtu mpaka ajione habari yake imeisha? “Masikini pole jamani. Dunia kweli haina huruma kweli. Keshakuharibia maisha hapo.” “Halikuwa kosa lako kabisa. Sema mtu mwenyewe ndio kawa shetani kabisa.”
Kuelimisha
Unajipa kazi ya ualimu kwa tatizo la mtu. Unataka kuonekana unajua, una uzoefu na mwenye shida hana uelewa: “Mungu anajua kwa nini unapitia hili.” “Mungu amemchukua marehemu kwa wakati wake.”
Maswali mengi
Unauliza maswali yanayochonoa jambo mtu hajawa tayari kukuambia. “Unaendeleaje na masimango ya wakwe?” “Hebu niambie huyu ni mwanaume wa ngapi kukuacha?” “Ulijisikiaje alipokuwa anakulazimisha?” Magonjwa yetu mengi na ugomvi mwingi unaotusumbua ni kilio cha nafsi iliyokosa mtu wa kuisilikiza na kujaribu kuielewa. Ukiweza kumsikiliza mtu, ukajali anachokisema, unatibu mengi yanayowazuia kuzungumza.
Kufanyia kazi unachojifunza
Matokeo makubwa ya umahirihisia ni namna unavyohusiana na watu. Namna gani unafikisha ujumbe kwa mtu, hata katika mazingira magumu, huo ni umahirihisia. Namna gani unamkosoa mtu bila kutweza utu wake? Je, unaweza kuzungumzia kosa la mtu na bado ukamwonesha kuwa yeye bado ni binadamu anayestahili staha?
Unawezaje kumwomba mtu kitu bila kuonekana unashinikiza? Kuna lugha ukitumia unaonekana unadai unachostahili, hali inayoweza kumvunja moyo huyo unayemwomba akupe unachohitaji.
Je, huwa unakumbuka kushukuru unapotendewa jambo? Unatumia maneno gani katika kusindikiza shukrani zako? Haya ni baadhi tu ya maeneo yanayoweza kuonesha umahirihisia wako. Habari njema ni kwamba umahirihisia ni safari endelevu. Tunajifunza kila iitwapo siku.

Nilipambana na utasa kwa miaka mingi hadi mwishowe nikakata tamaa. Lakini kama msemo unavyoenda, kuna marafiki ambao haukutani mara mbili maishani. Shukrani kwa rafiki mzuri sana ambaye alinitambulisha kwa Dk. Dawn, kila kitu kilibadilika.
JibuFutaBaada ya kueleza hali yangu, Dk. Dawn aliahidi kunisaidia katika tambiko la ujauzito. Kusema kweli, sikuamini kwamba ingefaa kwa sababu tayari nilikuwa na umri wa miaka 40, lakini niliamua kufuata maagizo. Kwa mshangao mkubwa, wiki tatu tu baadaye, nilipata mimba!
Furaha iliyokuwa moyoni mwangu—na katika mioyo ya mume wangu na familia—ilizidi kudhibitiwa nilipowaonyesha matokeo chanya ya ujauzito. Baadaye nilijifungua salama na kwa amani, na baada ya mwaka mmoja na miezi minane, nilipata mimba tena. Hakika ulikuwa ni muujiza usioelezeka.
Tangu wakati huo, nimependekeza Dk. Dawn kwa wanawake wengine wengi, na matokeo yao pia yamekuwa kama ilivyotarajiwa. Ndiyo maana ninapendekeza kwa moyo wote Dk. Dawn kwa mwanamke yeyote anayehangaika na utasa, matatizo ya ndoa au uhusiano, magonjwa, au aina yoyote ya suala la kiroho. Hakika atatoa suluhisho la kudumu.
📞 WhatsApp: +2349046229159
Ukiwa umefanya kazi maisha yako yote kujenga familia na urithi, huwezi kuruhusu kivuli cha mtu wa tatu kiiharibu katika miezi michache tu. Niligundua kuwa mabadiliko ya ghafla ya tabia ya mume wangu yalikuwa kuingiliwa kiroho, si tu mgogoro wa katikati ya maisha.
JibuFutaNiliwasiliana na Mystic Kakaa kwa ajili ya uingiliaji kati wa kibinafsi. Kazi yake ilikuwa ya upasuaji. Alitambua kivuli na kukiondoa kabisa bila drama yoyote ya umma. Ndani ya siku 5, umakini wa mume wangu ulirudi nyumbani kwetu na katika mustakabali wetu. Ikiwa unalinda maisha yenye thamani kubwa na unahitaji bwana anayeelewa busara, wasiliana naye kwa: dawnacuna314@gmail.com
WhatsApp: +2349046229159
Yeye ndiye kiwango cha dhahabu.
Kwa uchawi wa upatanisho wa uhusiano/ndoa.
Uchawi wa kumfanya mpenzi wako wa zamani/mwenzi wako aombe msamaha.
Uchawi wa kumrudisha mpenzi wako/kumvutia mpenzi mpya.
Uchawi wa kurejesha mali/pesa zilizoibiwa.
Mabadiliko ya umbo/Uchawi wa kutoweka.
Uchawi wa kushinda bahati nasibu/kesi ya mahakama. Na zaidi
I want to give a testimony on how I got cured from Herpes Virus. Few months back I was having some symptoms. I went to see a doctor and many blood tests were done on me, later on I was told I had Herpes. My doctor told me that there’s no cure for Herpes. I felt bad, I went online searching for a possible cure for Herpes Virus, I saw a post of Dr. Dawn, a herbal doctor that’s helping people get cured from Herpes.Cancer.HIV and more I contacted him and told him how I’m feeling. He said his herbal medicine can cure me. He sent me the medicine via UPS delivery service and I received the medicine 6 days after he sent it, i took the medicine as prescribed by him. Before I completed the medication the symptoms stopped. I went to the doctor and carried out another blood test, surprisingly I was Negative. I haven’t had any symptoms anymore. Dr. Dawn is great and you can
JibuFutacontact on WhatsApp: +2349046229159
Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )
If you need herbal medicine to cure any chronic or sexual transmitted disease's like.
HERPES.
CANCER.
HIV/AID'S and more