Kujifunza katika upana wake!

Nimesoma majadiliano kati ya Mubelwa Bandio na msomaji wake. Nimejifunza maana ya kujifunza. Labda na wewe utajifunza. Tafadhali bonyeza hapa kusoma mazungumzo hayo niliyoyapenda sana huenda ukajifunza kujifunza.

Asante Mubelwa kwa changamoto hiyo.

Maoni

  1. kaka bwaya sio wewe tu umejifunza kitu hata mie nimejifunza kitu ambacho sikujifunza. Na nakubali kweli huyu ni Mzee wa Changamoto na naweza kusema najivunia uwepo wake.

    JibuFuta
  2. Bomba la mjadala. Niliupitia mara kadhaa kuutolea macho nikisubiria uendelee eti.:-(

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Ukiigiza Ukatili, Unakaribisha Tabia ya Ukatili

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Uislamu ulianza lini?

Tabia za Mamlaka kwa Wanyonge Zinavyoweza Kuzalisha Uovu