Cheka na utafakari kwa bidii!

Hii ni kauli mbiu ya mdau mmoja kwenye jukwaa la majadiliano pale Jamiiforums. Yeye anasema:

Usifanye kosa kuchagua RAIS MGONJWA tukaingia hasara ya kurudia uchaguzi!

Nimecheka kwa sababu nilihitaji kucheka asubuhi hii. Ila nimeikopi nikitafakari. Jumamosi njema wadau!

Maoni

  1. endapo yupo mgombea aliyethibitika ni mgonjwa basi ni heri ashauriwe apate muda wa mapumziko. aachane na siasa

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Uislamu ulianza lini?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Unaona nini kwenye picha hii?

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Huu si udhaifu wa kiume?