Mwisho wa mwaka Singida







Hapa ni sehemu ya mji wa Singida kama ilivyokuwa Krismas ya mwaka huu.

Wengine ni Bw. Albert William, mhadhiri msaidizi DUCE (huyu aliwahi kublogu hapa miaka kadhaa iliyopita, bila shaka atarejea tena. Mwingine ni mkewe Krissie, mtafiti wa bayoteknolojia, Mlimani aliyewahi kublogu hapa na kuitelekeza blogu hiyo kwa muda. Na huyo mwingine (mwenye kaki) ni kilaza, mimi.

Maoni

  1. Duh! kaka Bwaya karibu tena kwani umemissiwa kweli.N aheri sana kwa mwaka mpya.

    JibuFuta
  2. Ah Christian,kama nilijua hizi picha zitafika wapi.si nnilikupa onyo mwana husikii mama asemayo????

    JibuFuta
  3. Krissie, kuna vingi nilionywa lakini nikavifanya, ajabu matokeo yake yakawa mazuri. Kama hivi...nadhani sasa umerudi rasmi kwenye blogu sio?

    JibuFuta
  4. blogging kunawafaa akina nyie

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Strictly gospel na mijadala ya kiimani

Ukiigiza Ukatili, Unakaribisha Tabia ya Ukatili

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3

Dan Vinci Code: Ukweli unaouma?