Dini na maoni ya wadau

Ninazo nyaraka kadhaa zilizotumwa kwangu na wadau wa ule mjadala wa dini. Zinafikia kumi.

Wengine hawachelewi. Wamekuja na tuhuma nzima nzima kwa watu, ama vikundi vya watu.

Ninatafakari namna muafaka ya kuwasilisha maoni yao bila upendeleo.

Hata hivyo, ningependa kuwashauri wadau wa dini, kuzungumza mambo ambayo wana hakika nayo, yenye hoja, ambayo hataibua ugomvi usio na tija katika kutuelimisha.


Kwa wale wasioridhika bila kutukana, ujumbe wangu kwao: Dini isipoweza kukusaidia kuitetea kwa lugha rahisi, hiyo haiwezi kuwa pungufu ya ubatili mtupu.

Maoni

  1. Naona umejihami kabisa na matusi ya wafuasi wa dini!!

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Ukiigiza Ukatili, Unakaribisha Tabia ya Ukatili

Strictly gospel na mijadala ya kiimani

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Unajua wanyaturu walipangaje uzazi?

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3