Je,nini hasa kinachoongoza mwenendo na tabia yako?

Umewahi kufikiri ni kitu gani hasa kinachoyaongoza maisha yako na namna unavyotekeleza matakwa yako? Kitu gani hasa ambacho ndicho unachoweza kukitaja kwa hakika kwamba ndicho kinachokuongoza.
Je, ni mafundisho ya dini yako?
Je, ni mtizamo wa watu wanaokuzunguka pamoja na utamaduni wao?
Je, ni mambo unayojifunza kwa kuyasoma ama kutazama?
Je, ni mtizamo wako/falsafa binafsi?
Au ni kitu usichokijua?

Nauliza tu. Jielewe.

Maoni

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Ukiigiza Ukatili, Unakaribisha Tabia ya Ukatili

Strictly gospel na mijadala ya kiimani

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Unajua wanyaturu walipangaje uzazi?

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3