Ubuddha: Miungu hufa na haistahili sadaka

Tuendelee na vidokezo kuhusu dini zetu tukiangazia dini zinazopatikana katika bara la Asia. Baada ya kuangalia Uhindu, sasa bonyeza hapa kusoma maelezo mafupi kuhusu Ubuddha, dini inayoamini kuwa kuishi ni kuteseka na kwamba ni muhimu kujikomboa kutoka katika mateso ambayo humpata kila binaadamu. Wa-Buddha wanaamini kuwa kuna miungu, lakini wakiamini kuwa miungu hiyo hufa kama viumbe wengine, na kwamba miungu hiyo haihusiki kwa namna yoyote na mambo ya uumbaji wa ulimwengu huu, kwa hivyo haistahili kuombwa wala kupewa sadaka.

Maoni

  1. Si kweli. Mimi ni M-Buddha na siamini kuwa kuna miungu. Kuna mtu ambaye ataitwa Buddha, ndiyo yeye atafa. Mtu ye yote anaweza kusiri Buddha.

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Haiba ni nini?

Tabia za Mtoto wa Miaka 0 – 3 Kimahusiano na Kihisia

Pay $900? I quit blogging