Watoto Waliokosa Masomo Nchini Libya Wafundishwa kwa Njia ya Skype
Hali tete ya kiusalama nchini Libya imewafanya watoto washindwe kwenda shule tangu mwezi Oktoba. Kwa kuwa watoto hawawezi tena kuhudhuria masomo katika shule zao, El-Zahawi aliwaza ni kwa nini asisogeze madarasa karibu na huko walipo? Na hapa ndipo Shule ya Skype ya Benghazi ilipozaliwa rasmi.
"Tulianza na akaunti ya mtu binafsi pamoja na Skype", anasema El-Zahawi akiwa mjini New York. Aliweka taarifa za mradi wake huu katika mitandao ya kijamii akiwaomba raia wa Libya kumsaidia. Katika muda wa wiki moja amepata "matokeo makubwa na ya kutia moyo kabisa." Pia alipata habari kuwa kuna kampuni moja ya Teknolojia ya Mawasiliano ilitaka kumfadhili.
Haifa El-Zahawi anaishi nchini Marekani. Aliondoka wakati Libya ilipokumbwa na ghasia za mapinduzi mwaka 2011. Kwa sasa anatafuta kazi akiwa kama daktari wa afya ya kinywa. Lakini pia, anautumia muda wake katika mradi mwingine wa kipekee: Anafundisha watoto nchini Libya.

Watoto wakiwa huko Tripoli, Agusti, 2011. Picha na MITSUYOSHI IWASHIGE. Haki miliki Demotix
Hata hivyo, masomo kupitia mtandao wa intaneti yana changamoto zake. Upatikanaji wa mtandao wa intaneti usiotabirika ni kikwazo kikubwa kinachochangiwa na tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara linalowakabili raia wa Libya. "Tunajaribu kwa kadiri tuwezavyo kuhakikisha wanafunzi wanapata masomo papo kwa hapo, lakini kutokana na changamoto zilizopo ... tunajaribu kurekodi masomo na kisha kuyapakia mtandaoni," El-Zahawi anasema.
Lakini, pamoja na changamoto hizi, Shule ya Skype ya Benghazi hadi sasa imekuwa na mafanikio makubwa. "Familia zimetutumia picha zinazoonesha wanafunzi wakifanya kazi wanazopewa na mwalimu wao," El-Zahawi anasema. "Pia, wanavaa sare zao za shule."
Wazo kuu la kuanzisha shule hii, El-Zahawi anasema ni kurudisha matumaini kwa familia na watoto "wanaohitaji elimu." Anaogopeshwa na habari kama hii ya hivi karibuni ya kuchinjwa kwa watu kadhaa nchini Libya na kundi la ISIS, na anaamini kuwa kwa kuwaelimisha watoto wa Libya kutasaidia kukomesha kuenea kwa ukatili huu.
"Tunahitaji kuwapatia elimu watoto wetu," anasema, "elimu tu ndiyo itakayotusaida kupambana na hali hii."
Makala haya yaliandaliwa na Shirin Jaafari kwa mara ya kwanza yalionekana kwenye tovuti ya PRI.org na kuchapishwa tena kwenye tovuti ya Global Voices.
"Tulianza na akaunti ya mtu binafsi pamoja na Skype", anasema El-Zahawi akiwa mjini New York. Aliweka taarifa za mradi wake huu katika mitandao ya kijamii akiwaomba raia wa Libya kumsaidia. Katika muda wa wiki moja amepata "matokeo makubwa na ya kutia moyo kabisa." Pia alipata habari kuwa kuna kampuni moja ya Teknolojia ya Mawasiliano ilitaka kumfadhili.
Haifa El-Zahawi anaishi nchini Marekani. Aliondoka wakati Libya ilipokumbwa na ghasia za mapinduzi mwaka 2011. Kwa sasa anatafuta kazi akiwa kama daktari wa afya ya kinywa. Lakini pia, anautumia muda wake katika mradi mwingine wa kipekee: Anafundisha watoto nchini Libya.
Watoto wakiwa huko Tripoli, Agusti, 2011. Picha na MITSUYOSHI IWASHIGE. Haki miliki Demotix
Hata hivyo, masomo kupitia mtandao wa intaneti yana changamoto zake. Upatikanaji wa mtandao wa intaneti usiotabirika ni kikwazo kikubwa kinachochangiwa na tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara linalowakabili raia wa Libya. "Tunajaribu kwa kadiri tuwezavyo kuhakikisha wanafunzi wanapata masomo papo kwa hapo, lakini kutokana na changamoto zilizopo ... tunajaribu kurekodi masomo na kisha kuyapakia mtandaoni," El-Zahawi anasema.
Lakini, pamoja na changamoto hizi, Shule ya Skype ya Benghazi hadi sasa imekuwa na mafanikio makubwa. "Familia zimetutumia picha zinazoonesha wanafunzi wakifanya kazi wanazopewa na mwalimu wao," El-Zahawi anasema. "Pia, wanavaa sare zao za shule."
Wazo kuu la kuanzisha shule hii, El-Zahawi anasema ni kurudisha matumaini kwa familia na watoto "wanaohitaji elimu." Anaogopeshwa na habari kama hii ya hivi karibuni ya kuchinjwa kwa watu kadhaa nchini Libya na kundi la ISIS, na anaamini kuwa kwa kuwaelimisha watoto wa Libya kutasaidia kukomesha kuenea kwa ukatili huu.
"Tunahitaji kuwapatia elimu watoto wetu," anasema, "elimu tu ndiyo itakayotusaida kupambana na hali hii."
Makala haya yaliandaliwa na Shirin Jaafari kwa mara ya kwanza yalionekana kwenye tovuti ya PRI.org na kuchapishwa tena kwenye tovuti ya Global Voices.
I 'm so glad you could come across this site ,
JibuFutaand we hope to establish good relations with you.
greetings from me ( Seo Milanisti )
peninggi badan | obat peninggi badan super cepat | obat peninggi badan
pelangsing badan | obat pelangsing badan | obat pelangsing badan super cepat
Terima kasih infonya :)
JibuFutahttp://clayton88.blogspot.com | http://goo.gl/Ie7IEb | http://goo.gl/eQV9d3 | http://bit.ly/1sUU8dl | http://goo.gl/CI4bLf | http://goo.gl/lNMX3D | http://goo.gl/cAQcMp | http://goo.gl/97Yn1s
Kumpulan Berita Menarik
Berita Menarik
Artikel Aneh Unik
Berita Lucu
Artikel Misteri Dunia
Blog Dofollow
Tips Menarik
www.Master138.net
Bandar Bola
Situs Bola
Agen Tangkas
Agen Bola
Agen Casino Online
Bandar Casino Online Terpercaya
www.BapakPoker.com
Agen Poker
Agen Poker Terpercaya
Agen Poker Online
www.Indo188.com
Agen Bola
Bandar Bola Terpercaya
Situs Bola Terpercaya
Bandar Casino Online
Agen Togel
www.Axioobet.com
Agen Casino
Agen Bola
Bandar Casino
Bandar Bola
Situs Taruhan Bola
www.Ingatpoker.com
Agen Poker
Agen Poker Terpercaya
Agen Poker Online
I came across the serach engine and find your website, you have great and nice blog, Thanks for sharing, God bless you
JibuFutaHARGA VIMAX IZON
HARGA VIMAX IZON ASLI
OBAT VIMAX HERBAL
VIMAX IZON ASLI
AGEN VIMAX
PROMO VIMAX
VIMAX KAPSUL
VIMAX ORIGINAL
RAHASIADEWASA.NET
PERANGSANG WANITA
OBAT PERANGSANG WANITA
MAXMAN CAPSULE
PRO EXTENDER
selaput dara buatan
selaput dara keperawanan
ALATSEXIMPORT.COM
ALAT BANTU SEX
JUAL ALAT SEX IMPORT
TOKO ALAT BANTU SEX IMPORT
PENGHILANG DAN PENGHAPUS TATTO PERMANEN
ALAT SEX UNTUK BDSM
BONEKA SEX KOREA FULL BODI
ALAT ONANI PRIA
ALAT SEX PRIA
VAGINA FLESHLIGHT
VAGINA PANTAT NUNGGING GETAR
OPIUM SPRAY
DOG SLAVE TAIL BUTT PLUG
SUPER STAPLESS DILDO VIBRATOR
FANTASI BLISS VIBE
BUTTERLY DANCE VIBRATOR
BONEKA PENIS PRIA SILIKON
Vmenplus Herbal
Vmenplus
Vmenplus import
Vmenplus Asli
Vmenplus herbal
KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل
JibuFutaKAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل
KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل
PROMO DELIMA
JibuFutapoker online terpercaya | poker online | Agen Domino | Agen Poker | Kumpulan Poker | bandar poker | Judi Poker | Judi online terpercaya | bandar qiu | situs judi online
Ayo segera daftarkan diri anda dan bergabunglah bersama kami !!
Delimapoker.com Situs Agen Poker Online Terpercaya di Indonesia akan melayani Anda dengan profesional, memproses depo/wd dgn cepat. Come join and be a winer with us !!
Untuk info selanjutnya silakan chat ke :
Livechat_____: delimapoker
BBM__________: 7B960959
Facebook_____: delimapoker
Phone number_: +85595678845
pendaftaran___