Mwanzo mgumu, siyo? Hasa katika masuala ya UJAMAA!
Labda tuchunguze zaidi kuhusu jinsi tunavyohusiana na hao ndugu zetu: wakoloni wa kale kama Wingereza, Ujerumani na wenginevyo.
Maana yake huwezi ukiwa CCM ukaendesha kwa mafanikio siasa za ujamaa na kujitegemea wakati huku unaendelea kufurahia "msaada" kutoka nchini za mabepari hususan zile ambazo ziliyekuwa zinamkandamiza Mwafrika enzi za ukoloni.
hahahaha kazi kwelikweli!
JibuFutaUnafikiri yaani ni kaaaaziii kwelilweli:-)
JibuFutaMwanzo mgumu, siyo? Hasa katika masuala ya UJAMAA!
JibuFutaLabda tuchunguze zaidi kuhusu jinsi tunavyohusiana na hao ndugu zetu: wakoloni wa kale kama Wingereza, Ujerumani na wenginevyo.
Maana yake huwezi ukiwa CCM ukaendesha kwa mafanikio siasa za ujamaa na kujitegemea wakati huku unaendelea kufurahia "msaada" kutoka nchini za mabepari hususan zile ambazo ziliyekuwa zinamkandamiza Mwafrika enzi za ukoloni.
Suali kwenu Mabwana Fede na Bwaya:
"Je, tunapata mafunzo gani kutoka huko Zimbabwe?"
http://news.xinhuanet.com/english2010/china/2011-02/12/c_13728225.htm
sasa hapa kilipo chama tajwa kipo katika hatua ipi kati ya hizo hapa juu?
JibuFutaHa ha ha haaa , utani mwingine bwana!!!
JibuFutanice blog
JibuFutathanks you for sharing
JibuFutai like it this blog
JibuFuta