Pendekezo la kitabu



Kama unataka kujielewa, kitafute hiki.

Maoni

  1. Ntakitafuta hicho Mkuu!

    Ila MKUU una ukimya fulani siku hizi MKUU!

    Just sayin'.....!

    JibuFuta
  2. Ni kweli mtakatifu Kitururu. Kuna mambo hayajakaa sawa bado.

    JibuFuta
  3. Elimu ya watanzania iliwafanya wananchi wachukie vitabu sababu toka shule za misingi hadi vyuo vikuu vitabu vinaelezea matukio ya ukoloni, historia zisizokuwa na mizizi ya mtu kuwa mbunifu na mfumo mbovu wa hatima ya elimu kuwa mwenye akili ni yule anayefaulu mtihani wa mwisho.
    Chachu ya kusoma vitabu ijengwe kutoka mashuleni, watu wanaona bora atembee mtaani kuuza mitumba ya CD/DVD apate riziki kuliko kusoma vitabu mwisho wa siku alale njaa.
    NAKUKARIBISHA HUKU PIA, http://www.amosmsengi.blogspot.com/

    JibuFuta
  4. Kaka habari za siku, naona hata namba zako za simu hasa TIGO haipatikani........
    Kuhusu kitabu, ni kweli kinaonekana ni kizuri, lakini naomba wakati mwingine uwe unatuelekeza vinapopatikana vitabu hivyo..... ni wazo tu mkuu
    Pamoja daima

    JibuFuta
  5. Amos asante sana kwa maoni yako murua. Karibu kwenye uwanja wa kublogu.

    Koero, asante kwa wazo zuri.

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Haiba ni nini?

Uislamu ulianza lini?

Pay $900? I quit blogging