Posti bora ya mwaka 2009
Kabla sijapotea kwenye blogu (kwa siku mbili tatu nne)nitakushirikisha posti bora kabisa nilizozisoma kwa mwaka mzima 2009 ambazo kwa hakika zilinipa mtazamo mpya wa mambo. Nitarudi kama Shaka Ssali anavyosema-ga "Don't go away!", naja.
Tunasubiri.
JibuFuta@BWAYA: Mkuu salama lakini?
JibuFutaDu, Baba mtakatifu Mkodo salama! Ndo kwanza nimerejea. Mambo vipi?
JibuFutaDa'Mija asante kwa kupiga hodi. Nilifunga nyumba kwa muda, nimerudi. Karibu tupo!