Kutoka kwa Da'Subi, unaelewa picha hii ilivyo?



Ukiiangalia kwa makini picha hii, utaamua mwenyewe ikiwa hawa jamaa wanajenga darini ama sakafuni? HIyo ngazi iliyowekwa ina kazi gani?

Huu ni mfano mzuri wa jinsi akili zetu zinavyofanya kazi. Unakifikiri kinatokana na ulichokiingiza ubongoni mwako kabla.

Maoni

  1. Hii picha ilivyokaa kaa utafikiri imepindwa katikati? What the hell!

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Malezi yanavyochochea ubabe katika jamii

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Haiba ni nini?

Uislamu ulianza lini?

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Mbinu za Kushinda Maswali ya Usaili wa Kazi - 1

Pay $900? I quit blogging