Yapo mambo mengi katika jamii zetu yaliyofanyika zamani ambayo tukiyatazama twaweza kujifunza mengi. Mengi ya hayo, si sehemu ya jamii za kisasa hivi leo, lakini yalekuwa na msaada wa namna Fulani kwa jamii. Katika jamii ya asili ya wanyaturu, kabila dogo linalopatika katika wilaya ya Singida (na kidogo manyoni), mahusiano kati ya baba na mama yalikuwa na sura tofauti sana na ilivyo leo. Wakati leo hii, wazazi kulala vyumba tofauti huchukuliwa kama ishara ya kufifia kwa mahusiano baina ya wawili hao, kwa Wanyaturu hiyo ilikuwa na maana tofauti. Kikawaida, wazazi wa Kinyaturu hawakupaswa kukaa nyumba moja (sio chumba kimoja, nyumba moja) ndani ya boma. Katika boma analojenga mwanaume kama himaya ya familia yake, alipaswa kuzingatia uwepo wa nyumba mbili ndnai ya boma moja. Baba ambaye ndiye mkuu wa boma, alilala na wanawe wa kiume katika sehemu maalumu ya nyumba inayojulikana kama "Idemu/Ikumbu". Nyumba hiyo ilijitenga pembeni na nyumba kuu alikoishi mama na wanawe wa...
hapo ipo kazi je kuna usalama kwani naona kama kitanda hapo.
JibuFutahapo ipo kazi je kuna usalama kwani naona kama kitanda hapo.
JibuFutaBwaya,
JibuFutaJe hii imetokea waoi?
Je kulikuwa na maafa?
hebu tujuze basi, mkasa mzima juu ya habari hii.
Kweli kabisa nakubaliana na kaka Shaban hapo kwamba TUJUZE lakini kuna watu kama siyo vijitu havisikii kama siyo hawaelewi labda hawajaelewa. Lakini kweli hii ni hatari
JibuFutaWadau,
JibuFutaAliyekuwa mmiliki wa hayo mabaki ya simu na kitanda kinachoonekana, alikuwa akiongea na simu hali ikiwa imeunganishwa kwenye umeme. Ikalipuka. Akafa.
Tunajifunza nini? Je, tunajua maafa yanayoambatana na matumizi ya simu?
siamini chris kweli tena hii ni kututisha tu
JibuFutaEbwanaee,kwa sasa kompyuta za mapajani,simu vimekuwa ni kama ulevi nchi hizi.Hapa udosini majuzi mzee mmoja kaungua sikio na sehemu ya kichwa upande wa kuume baada ya kulipukiwa na simu.
JibuFutaJamaa wanawalaumu wachina kwa bidha zao kuwa haizna ubora wa kutosha.Ulevi wa hivyo vitu umeanza kuniandama.
Ebwanaee,kwa sasa kompyuta za mapajani,simu vimekuwa ni kama ulevi nchi hizi.Hapa udosini majuzi mzee mmoja kaungua sikio na sehemu ya kichwa upande wa kuume baada ya kulipukiwa na simu.
JibuFutaJamaa wanawalaumu wachina kwa bidha zao kuwa haizna ubora wa kutosha.Ulevi wa hivyo vitu umeanza kuniandama.
Chrissie na Edigio, huu ni upande wa pili wa teknojia. Si utani. Kompyuta zinapofusha. Kompyuta za mapajani zinaharibu mbegu za kiume, simu ndiyo hivyo. Kila kitu kina pande mbili.
JibuFuta