Zimebaki siku tano...

Tarehe kumi na nane mwezi huu ni siku ya maadhimisho ya wanablogu. Tukumbushane kushiriki. Mambo kama haya yasionekane madogo kihivyo. Yanatunganisha. Tujiandae.

Maoni

  1. Asante kwa kunikumbusha nitajaribu kuwa hewani

    JibuFuta
  2. Ahsante kwa taarifa hizi muhimu.
    Je wadau wanakutana wapi? na je kutakuwa na matukio gani?

    JibuFuta
  3. Tunakutania mtandaoni kubadilishana mawazo kaka

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Heri ya mwezi mpya!

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Strictly gospel na mijadala ya kiimani

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3