Katika mchakato wa kuomba ajira baada ya kuona tangazo la kazi, mambo matatu ni dhahiri. Mosi, huombi kazi hiyo wewe mwenyewe. Wapo watu wengi wanaoandika maombi na hivyo kuongeza ushindani wa nani atapata. Pili, nyaraka unazotuma kwa mwajiri mtarajiwa ndizo zinazojenga utambulisho wako kabla wewe mwenyewe hujafahamika. Tatu, afisa mwajiri hatatumia muda mrefu kusoma maelezo yako. Katika hali ya kawaida, atatumia dakika moja kuamua ikiwa amevutiwa na maelezo yako ama la.
Asante kwa kunikumbusha nitajaribu kuwa hewani
JibuFutaAhsante kwa taarifa hizi muhimu.
JibuFutaJe wadau wanakutana wapi? na je kutakuwa na matukio gani?
Tunakutania mtandaoni kubadilishana mawazo kaka
JibuFuta