Ukweli ni lazima uwe uhalisi?

Uhalisi (reality) ni nini , na unatofautianaje na ukweli (truth)? Je, uhalisi lazima uwe ukweli? Je, kila ukweli ni halisi? Je, utajuaje kuwa unachojua ni uhalisi usio ukweli ama ukweli usio uhalisi?

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Mbinu za Kushinda Maswali ya Usaili wa Kazi - 1

Uislamu ulianza lini?

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Mambo ya Kuzingatia Unapoandika Wasifu wa Kazi (Curriculum Vitae)

Haiba ni nini?