Ukweli ni lazima uwe uhalisi?

Uhalisi (reality) ni nini , na unatofautianaje na ukweli (truth)? Je, uhalisi lazima uwe ukweli? Je, kila ukweli ni halisi? Je, utajuaje kuwa unachojua ni uhalisi usio ukweli ama ukweli usio uhalisi?

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Heri ya mwezi mpya!

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Huu si udhaifu wa kiume?

Dan Vinci Code: Ukweli unaouma?