Ukweli ni lazima uwe uhalisi?

Uhalisi (reality) ni nini , na unatofautianaje na ukweli (truth)? Je, uhalisi lazima uwe ukweli? Je, kila ukweli ni halisi? Je, utajuaje kuwa unachojua ni uhalisi usio ukweli ama ukweli usio uhalisi?

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Uislamu ulianza lini?

Kutumia UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Kuimarisha Mahusiano

Kuyamudu Mafanikio Yako...

Mbinu za Kumshirikisha Mwanafunzi Katika Ujifunzaji