Ajira milioni moja zilizoahidiwa ndio hizi?







Hawa ni "waajiriwa" wa Segera. Bila shaka wameingizwa katika kitabu cha ajira. Takwimu mpo?















Hapa ni Chalinze. Mkakati wa zile ajira milioni moja umewafikia vijana hawa pia.

Maoni

  1. kwanza nilidhani dhamira,pili nilidhani ubinadamu,tatu nilidhani nyakati mpya,nne nildhanai ilani ya chama itawekwa kando,tano nilidhani hisia za kweli shauri kaishi mjini.....kumbe ilikuwa kama kawaida wabongo tunavyopenda kusikia neno 'ahadi'.
    asante kwa kutembelea blogu yangu pia

    JibuFuta
  2. Karibu mpangala. Nimependa lugha yako.

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Heri ya mwezi mpya!

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Strictly gospel na mijadala ya kiimani

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3