Ajira milioni moja zilizoahidiwa ndio hizi?







Hawa ni "waajiriwa" wa Segera. Bila shaka wameingizwa katika kitabu cha ajira. Takwimu mpo?















Hapa ni Chalinze. Mkakati wa zile ajira milioni moja umewafikia vijana hawa pia.

Maoni

  1. kwanza nilidhani dhamira,pili nilidhani ubinadamu,tatu nilidhani nyakati mpya,nne nildhanai ilani ya chama itawekwa kando,tano nilidhani hisia za kweli shauri kaishi mjini.....kumbe ilikuwa kama kawaida wabongo tunavyopenda kusikia neno 'ahadi'.
    asante kwa kutembelea blogu yangu pia

    JibuFuta
  2. Karibu mpangala. Nimependa lugha yako.

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Uislamu ulianza lini?

Haiba ni nini?

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Mbinu za Kushinda Maswali ya Usaili wa Kazi - 1