Je,nini hasa kinachoongoza mwenendo na tabia yako?

Umewahi kufikiri ni kitu gani hasa kinachoyaongoza maisha yako na namna unavyotekeleza matakwa yako? Kitu gani hasa ambacho ndicho unachoweza kukitaja kwa hakika kwamba ndicho kinachokuongoza.
Je, ni mafundisho ya dini yako?
Je, ni mtizamo wa watu wanaokuzunguka pamoja na utamaduni wao?
Je, ni mambo unayojifunza kwa kuyasoma ama kutazama?
Je, ni mtizamo wako/falsafa binafsi?
Au ni kitu usichokijua?

Nauliza tu. Jielewe.

Maoni

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Heri ya mwezi mpya!

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Strictly gospel na mijadala ya kiimani

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3