Je,nini hasa kinachoongoza mwenendo na tabia yako?

Umewahi kufikiri ni kitu gani hasa kinachoyaongoza maisha yako na namna unavyotekeleza matakwa yako? Kitu gani hasa ambacho ndicho unachoweza kukitaja kwa hakika kwamba ndicho kinachokuongoza.
Je, ni mafundisho ya dini yako?
Je, ni mtizamo wa watu wanaokuzunguka pamoja na utamaduni wao?
Je, ni mambo unayojifunza kwa kuyasoma ama kutazama?
Je, ni mtizamo wako/falsafa binafsi?
Au ni kitu usichokijua?

Nauliza tu. Jielewe.

Maoni

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

UmahiriHisia (Emotional Intelligence) ni Nini?

Kutumia UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Kuelewa Unavyojisikia

Uislamu ulianza lini?

Kutumia UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Kuimarisha Mahusiano

UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Unavyosaidia Kurekebu na Kumudu Hisia

UmahiriHisia (Emotional Intelligence) Unavyochochea Motisha na Kujituma