Malezi yanavyochochea ubabe katika jamii
Natamani tutafakari jambo hili kwa kina. Nyumbani tumemzoesha mtoto fujo —fimbo, makofi, matusi na aina nyingine za ubabe. Sisi wazazi tunaamini hatuwezi kulinda mamlaka yetu bila kumsababishia mtoto maumivu iwe kwenye mwili wake au hisia zake. Ukiangalia yanayoendelea nyumbani hakuna mazungumzo yenye upendo na mtoto. Tunaamini amani na utulivu kwenye ngazi ya familia ni pale tunapokuwa na watoto wasiofikiri, wasiouliza, wasiothubutu kutofautiana na wazazi ambao ndio mamlaka katika familia. Shuleni mtoto anakutana na mwalimu anayeamini njia pekee na ya uhakika kulinda heshima na mamlaka yake darasani ni vitisho, fimbo na kila aina ya ubabe kwa mwanafunzi. Ukiangalia mbinu za ufundishaji wake huoni wapi anaamini katika ushirikishwaji wa mwanafunzi. Tangu asubuhi mpaka jioni zoezi linalotawala ni wanafunzi kupokea maelekezo na kuyakariri. Mwalimu anaamini nidhamu ni pale amani na utulivu vinapotawala darasani. Hii, huenda ndio sababu shule zinahangaika na wapiga...
Nasikia hata mtu asemaje KUFISADI aka KULIA OFISINI bado ni rahisi zaidi hata kwa mafisadi ambao kabla hawajadaka ofisi walikuwa hawafikirii UFISADI kama moja ya njia ya kuwa TAJIRI!:-(
JibuFutaKwani KUWA TAJIRI au tu tu GROW RICH ni nini kama utajiri moja ya tafsiri yake ni kuridhika tu na skonzi wakati keki zipo ingawa kuna aridhishwaye zaidi na MAANDAZI?
Loooh!! unakisoma kwa mara ya pili mkubwa??? ngoja nami nirejee maktabani nipekuepekua walau mawili matatu, maana ile NADHARIA YA CHANGE YOUR FREQUENCY inanikuna sana. Pamoja sana mkubwa katika kuliendekeza libeneke la kusoma vitabu. amani iwe nawe daima
JibuFutaKinachosikitisha ni jinsi wengi katika jamii yetu wanavyoamini kuwa mafanikio watayapata kwa njia za kishirikina, badala ya kuzingatia elimu inayopatikana vitabuni.
JibuFuta@Mkodo, Kufisidi ni tabia unayoweza kuibaini mapema tu.
JibuFuta@Marcus, nimefurahi kusikia umekisoma! Naomba pendekezo la unachokisoma hivi sasa.
@Profesa, pengine tumelelewa kishirikina.
Pesa unaipataje, unaweza ukaokota, ukiokota kuna kapoteza umadhulumu/fisidi. Ukaamua kufanya kazi, ukapata mshahara, je katika dhima nzima ya kufanya kazi hukuwahi kutega...lazima kutakuwepo na uzaifu fulani, umepata kitu/mshahara lakini ndani yake kuna ufisidi...au sio
JibuFutaUmefanya biashara, ukauaza na kupta faida kubwa, je hiyo faida ina uhalali , kuna kukwepa kodi, kuna kudanganya kuwa ni kizuri kumbe siku mbili tatu kibovu...umefisidi..
Lakini kuna ufisadi wa dhahii, mkubwa sana, unafisidi nchi nzima, mama yangu...hata yule asiyejiweza, hata yule asiye na baba wala mama, hata ....mungu wangu utasema nini mbele ya muumba!
Nimewaza tu mkuu!
@Emu three ufisadi, kwa kadri ya maelezo yako ni sehemu ya utamaduni. Je, twaweza kujinasua?
JibuFutaKinatakiwa kuwepo katika maktaba za shule na hasa zaidi katika ile ya Bunge la Tanganyika
JibuFuta