Ajuaye kusoma na hasomi ana nafuu?

Je, kuna tofauti kati ya mtu asiyejua kusoma (illiterate) na yule anayejua kusoma (literate) lakini hasomi?

Maoni

  1. Bwaya, hapa umenichekesha sana. Nimejaribu kutafakari, nikaona ya kuwa wote wapo sawa tu. Ha ha haaa

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Heri ya mwezi mpya!

Uislamu ulianza lini?

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Huu si udhaifu wa kiume?