Ajuaye kusoma na hasomi ana nafuu?

Je, kuna tofauti kati ya mtu asiyejua kusoma (illiterate) na yule anayejua kusoma (literate) lakini hasomi?

Maoni

  1. Bwaya, hapa umenichekesha sana. Nimejaribu kutafakari, nikaona ya kuwa wote wapo sawa tu. Ha ha haaa

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Uislamu ulianza lini?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Heri ya mwezi mpya!

Ukiigiza Ukatili, Unakaribisha Tabia ya Ukatili

Strictly gospel na mijadala ya kiimani