Ajuaye kusoma na hasomi ana nafuu?

Je, kuna tofauti kati ya mtu asiyejua kusoma (illiterate) na yule anayejua kusoma (literate) lakini hasomi?

Maoni

  1. Bwaya, hapa umenichekesha sana. Nimejaribu kutafakari, nikaona ya kuwa wote wapo sawa tu. Ha ha haaa

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Haiba ni nini?

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Tumia Mbinu Hizi Kuelewa Unachokisoma -3

Uislamu ulianza lini?

Kama sio utumwa ni nini hiki?