Hongera Mzee wa Mshitu


Mwanablogu Yahya Chaharani (anayesikiliza simu) amepata Shahada ya Uzamili ya Mawasiliano ya Umma ya Chuo Kikuu cha Mt. Augustino, Mwanza. Hongera sana kwa kupiga hatua!Hapo ni katika mahafali yaliyofanyika juma lililopita.

Picha kutoka blogu ya Mzee wa mshitu

Maoni

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Uislamu ulianza lini?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Padre Karugendo kakosea kipi hasa?