Hongera Mzee wa Mshitu


Mwanablogu Yahya Chaharani (anayesikiliza simu) amepata Shahada ya Uzamili ya Mawasiliano ya Umma ya Chuo Kikuu cha Mt. Augustino, Mwanza. Hongera sana kwa kupiga hatua!Hapo ni katika mahafali yaliyofanyika juma lililopita.

Picha kutoka blogu ya Mzee wa mshitu

Maoni

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Mbinu za Kushinda Maswali ya Usaili wa Kazi - 1

Uislamu ulianza lini?

Tumia Mbinu Hizi Kuelewa Unachokisoma -3

Haiba ni nini?

Kama sio utumwa ni nini hiki?