Sayansi na imani, mwendelezo

Niliandika mara kadhaa, nikijaribu kuonyesha matatizo ninayoyaona katika sayansi. Kusema kweli siandiki kudhihaki umaana na heshima ya sayansi. Ninaandika kuangalia kwa upya nafasi ya sayansi katika ulimwengu wetu kwa kutizama mipaka yake. Ningeomba msomaji awe mvumilivu tunapoelekea katika hitimisho la mjadala huu.

Kama u msomaji mpya, unaweza kupitia hapa na ukaja hapa, kwa mtiririko huo huo ukasoma na hapa pia. Halafu tuendelee.

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Heri ya mwezi mpya!

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Strictly gospel na mijadala ya kiimani

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3