Mbinu za Kumfundisha Mtoto Kusoma Akiwa Nyumbani
Katika utafiti uliofanywa na program ya Uwezo
iliyochini ya Shirika la Twaweza, zaidi ya nusu ya watoto wa darasa la nne na
tano katika nchi za Afrika Mashariki hawana uwezo wa kusoma na kuandika.
Nilimwuuliza Bahiya Abdi, mhadhiri wa masuala ya
mitalaa, Chuo Kikuu cha Kikatoliki Mwenge, maana ya kutokujua kusoma na
kuandika. Anasema: “Kuna mambo kadhaa ya kuangalia tunapozungumzia uwezo wa mtoto
kusoma. Mbali na mtoto kutambua herufi, lazima awe na uwezo wa kusoma kwa
haraka.”
“Lakini pia, uwezo wa kusoma unapimwa kwa
kiwango cha kuelewa kile anakisoma. Kama mtoto anaweza kusoma tu lakini hawezi
kupata ujumbe vizuri, hapo tunaweza kusema uwezo wake uko chini ya kiwango.”
Kwa mujibu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE)
mtoto wa darasa la kwanza na la pili anatarajiwa kutambua na kusoma kwa ufasaha
maneno 50 yenye maana kwa dakika na maneno 40 yasiyo na maana kwa dakika.
Kadhalika, anatarajiwa kuandika kwa ufasaha
herufi kubwa na ndogo, na kufanya hesabu za kujumlisha na kutoa sambamba na
kutambua herufi zinazokosekana.
Suala la watoto wetu kushindwa kusoma na
kuandika kwa kiwango kinachotakiwa limekuwa mjadala mrefu katika majukwaa
mbalimbali ya elimu. Zinatajwa sababu nyingi.
Moja, ni mazingira yasiyo rafiki katika shule
zetu yanayowanyima watoto fursa ya kujifunza kwa ufasaha. Mazingira ni pamoja
na vifaa vya kujifunzia pamoja na walimu wenye sifa na ari ya kufundisha.
Lakini pili, ni mrundikano wa masomo mengi
katika madarasa ya awali. Mtoto mdogo –ambaye kimsingi bado anakua kiufahamu –anapolazimika
kusoma mambo mengi kwa wakati mmoja inakuwa vigumu kuelekeza nguvu zake kwenye kukuza
uwezo wa kusoma na kuandika.
Mbali na sababu hizo, ipo nyingine ya wazazi
kutokuweka mazingira yanayomwezesha
mtoto kujifunza akiwa bado nyumbani. Bahiya Abdi anasema, “Mazingira ya
nyumbani yana nafasi kubwa ya kumwezesha mtoto kusoma, kuandika na hata
kuhesabu. Mzazi akitambua nafasi yake, kazi ya mwalimu atakayekutana na mtoto
shuleni itakuwa rahisi sana.”
Katika makala haya tunajadili maeneo matano yanayoweza
kukuza uwezo wa mtoto kujifunza kusoma, kuandika na kuhesabu katika mazingira
ya nyumbani.
Picha za irabu
Jema Karume, mkufunzi wa Chuo cha Ualimu
Singachini nje kidogo ya mji wa Moshi, anashauri wazazi kuwapa watoto vifaa vinavyowasaidia kutambua
irabu.
Anasema, “Hatua ya kwanza kujifunza kusoma na
kuandika ni kutambua irabu na tarakimu. Hapa mzazi anahitajika kumnunulia mtoto
mabango (poster) yenye irabu na tarakimu. Mtoto ataanza kuzoea zile irabu na
huo ndio mwanzo wa kujifunza kusoma na kuandika.”
Ushauri huu wa kitaalam ni wa msingi kwa wazazi
wanaotamani kuona watoto wao wanajifunza kusoma mapema. Badala ya kumnunulia
mtoto midoli isiyomsaidia kujifunza, mtafutie mtoto vifaa vinavyohusianisha
picha na maneno. Unapopata nafasi, mwelekeze. Hatua kwa hatua mtoto atajifunza
kusoma.
Vifaa vya kuandikia
Upendo Zakaria, mkufunzi wa Chuo cha Ualimu
Singachini, naye anashauri wazazi wawape watoto vifaa vya kuandikia. Anasema,
“Unaweza kumpatia mtoto kalamu na penseli akajifunza namna ya kuishika.”
Katika hatua za ukuaji wa mtoto, kwa kawaida
mtoto anaweza kuanza kushika kitu vizuri kwa vidole vyake katika umri wa miaka
mitatu. Kwa nini ni muhimu mtoto aanze kuzoeshwa kushika kalamu mapema?
Mkufunzi Upendo anajibu: “Kushika kalamu ni
mazoezi ya kukomaza misuli ya mikono na vidole. Mtoto hawezi kuandika kama
misuli yake miepesi (smooth muscles) haijakomaa vizuri.”
Desturi ya kusoma nyumbani
Doris Lyimo, mhadhiri wa lugha Chuo Kikuu cha
Kikatoliki Mwenge, anafikiri ni muhimu kujenga desturi ya kusoma katika
mazingira ya nyumbani.
Anasema: “Mtoto huiga kwa mzazi kama anayo
desturi ya kusoma. Lazima mzazi amwongoze mtoto kusoma kwa kuhakikisha si tu na
yeye anaonekana akisoma, bali nyumba ina vitabu na magazeti ya kusoma”
Pia kuna suala la maagizo tunayowapa watoto wetu
kama anavyofafanua Jema Karume, anayeandaa walimu wa shule za msingi: “Mzazi
ampe mtoto maagizo yanayochochea kufikiri na kuhesabu. Mfano, unamwambia mtoto
niletee vijiko viwili. Hapo unamlazimisha kujifunza kuhesabu vitu.”
Vitabu vya hadithi
Bahiya Abdi, ambaye pia amekuwa akifanya tafiti
kadhaa za kubaini mazingira yanayorahisisha kusoma na kuandika, anashauri
wazazi wawapatie watoto vitabu vya hadithi fupi fupi. Anasema:
“Nunua vitabu kwa ajili ya mwanao. Mtafutie vile
vitabu vya hadithi fupi fupi za kusisimua ajenge mazoea ya kusoma. Wewe kama
mzazi msikilize wakati anasoma na kisha mwuulize maswali ajibu.”
Utaratibu kama huu ukifanyika mara kwa mara una
nafasi kubwa ya kumjengea mtoto hamasa ya kujifunza kusoma kwa umahiri zaidi. Mbali
na kumfundisha kusoma, mtoto anakuwa na uwezo wa kuelewa kile anachokisoma kwa
ufasaha zaidi.
Je, hadithi zinawafaa wale wanaojua kusoma
pekee? Mhadhiri Bahiya anasema:
“Vitabu vinawafaa hata watoto wasiojua kusoma. Kama
mtoto bado hajui kusoma, msomee hadithi na yeye asikilize. Ukishamsomea ni
muhimu umpe nafasi aulize maswali yanayohusu hadithi hiyo.”
Michezo
Mhadhiri Bahiya Abdi anafikiri michezo nayo ina
nafasi muhimu katika kumwandaa mtoto kusoma na kuhesabu. Anasema, “Wazazi
wanatakiwa kuwahamasisha watoto kucheza michezo inayowasaidia kujifunza kusoma,
kuandika na kuhesabu. Mfano, mchezo wa kuruka kamba ilihali wakihesabu.”
Jema Karume naye anaungana na ushauri huo wa
Mhadhiri Bahiya: “Wazazi wasichukulie michezo kama kupoteza muda. Kupitia michezo
mtoto atajifunza kuhesabu vitu vingi. Muhimu tu iratibiwe vizuri na ifanyike
kwa muda muafaka.”
Tunafahamu watoto hucheza kwa makundi.
Wanapojigawanya kwa makundi ya ushindani, watahesabu idadi yao kwa kila kundi.
Pia, watahesabu idadi ya magoli, mitupo, makosa yanayofanyika
na mambo kama hayo ambayo kwa hakika yana nafasi kuwa ya kuwa darasa lisilo
rasmi linalowajengea watoto ujuzi wa hesabu kabla hata hawajaandikishwa kwenda
shule.

SAHABATPOKER AGEN BANDARQ AGEN DOMINO 99 DAN POKER ONLINE AMAN DAN TERPERCAYA
JibuFutaSusah cari Situs judi online yang bisa di percaya...?
Mari gabung di AGEN DOMINO
Bonus Refferal 15%
Bonus Turn Over 0,5%
Agen Judi Online Terbesar dan Terpercaya se asia
Daftar dan buktikan sendiri sekarang juga..
WHATSAPP : +855967136164
PIN BB : 2B13CFD
PIN BB : E34BB179
LINE ID : @fjq9439d
LINE ID : sweetycandys
Bất kì một cửa hàng, một quán ăn, quán cafe, trà sữa, quán nhậu hay một nhà hàng, khách sạn nào đều có những bảng hiệu quảng cáo mang tính chất thông báo cho khách hàng hay những người có nhu cầu. Nhờ những bảng hiệu quảng cáo mà khách hàng có thể dễ dàng biết được thông tin mà nơi họ đi qua và ngược lại đây cũng là cách nhanh nhất để người chủ truyền tải thông tin đến cho mọi người. Chính vì sự quan trọng này mà bảng hiệu quảng cáo đang dần trở nên được chú trọng hơn so với trước đây.
JibuFutaNếu trước kia bảng hiệu quảng cáo chỉ có mục đích duy nhất là thông báo thì ngày nay bảng hiệu quảng cáo còn vô cùng bắt mắt, thiết kế đa dạng để thu hút khách hàng hơn. Có thể nói bảng hiệu càng độc, lạ, càng bắt mắt thì càng thu hút sự chú ý hơn. Nếu bạn đang có nhu cầu muốn thiết kế một bảng hiệu quảng cáo đẹp, giá rẻ, thu hút sự chú ý mà vẫn phù hợp với phong cách của mình, hãy đến với công ty Quảng cáo Đại Phát để được chúng tôi tư vấn thiết kế và thi công nhanh chóng và hiệu quả nhất.
Công ty Quảng Cáo Đại Phát chuyên nhận thi công:
làm bảng hiệu
làm hộp đèn quảng cáo
làm biển quảng cáo
làm biển hiệu quảng cáo
làm bảng hiệu quảng cáo
làm bảng hiệu hộp đèn
hộp đèn bảng hiệu
bảng hiệu mica
làm bảng hiệu mica
bảng hiệu quảng cáo
biển hiệu quảng cáo
bảng hiệu quảng cáo đẹp
bảng hiệu đẹp
bảng hiệu hộp đèn
bảng hiệu hộp đèn đẹp
hộp đèn
hộp đèn quảng cáo
hộp đèn quảng cáo đẹp
hộp đèn quảng cáo ngoài trời
hộp đèn quảng cáo mica
Quảng cáo Đại Phát
Địa chỉ: 55 Linh Đông, P. Linh Đông, Q. Thủ Đức, TP. Hồ Chí Minh
Điện Thoại: 0935 79 00 28
Email: daiphatgroup2010@gmail.com
Website: thietkethicongdaiphat.com
PERMAINAN ONLINE TERBESAR DI INDONESIA
JibuFutaWebsite paling ternama dan paling terpercaya di Asia ^^
Sistem pelayanan 24 Jam Non-Stop bersama dengan CS Berpengalaman respon tercepat :)
Memiliki 8 Jenis game yang sangat digemari oleh seluruh peminat poker / domino
- Adu Q
- Bandar Q
- Bandar Sakong
- Bandar Poker
- Poker
- Domino 99
- Capsa Susun
- BANDAR66 / ADU BALAK ( GAME TERBARU )
Permainan Judi online yang menggunakan uang asli dan mendapatkan uang asli ^^
* Minimal Deposit : 20.000
* Minimal Withdraw : 20.000
* Deposit dan Withdraw 24 jam Non stop ( Kecuali Bank offline / gangguan )
* Bonus REFFERAL 15 % Seumur hidup tanpa syarat
* Bonus ROLLINGAN 0.3 % Dibagikan 5 hari 1 kali
* Proses Deposit & Withdraw PALING CEPAT
* Sistem keamanan Terbaru & Terjamin
* Poker Online Terpercaya
* Live chat yang Responsive
* Support lebih banyak bank LOKAL
Contact Us
Website SahabatQQ
WA 1 : +85515769793
WA 2 : +855972076840
Telegram 1 :+85515769793
Telegram 2 : +855972076840
LINE : SAHABATQQ
TWITTER : SahabatQQ
Kami Siap Melayani anda 24 jam Nonstop
daftar sahabatqq
Kontak SahabatQQ : Kontak SahabatQQ
Depo Pulsa 25rb Dan Bonus Chip Gratis Manfaat Duku Untuk Ayam Bangkok
JibuFutaAGENS128 Adalah Situs Judi Online Taruhan Sepak Bola, Casino, Sabung Ayam, Tangkas, Togel & Poker Terpopuler di Indonesia
JibuFutaPasang Taruhan Online Melalui Agen Judi Terpercaya Indonesia Agens128, Proses Cepat, Banyak Bonus, Online 24 Jam dan Pasti Bayar!
Sabung ayam
sbobet online
casino online
tembak ikan
daftar bisa langsung ke:
LINE : agens1288
WhatsApp : 085222555128
CrownQQ Agen DominoQQ BandarQ dan Domino99 Online Terbesar
JibuFutaYuk Buruan ikutan bermain di website CrownQQ
Sekarang CROWNQQ Memiliki Game terbaru Dan Ternama loh...
9 permainan :
=> Poker
=> Bandar Poker
=> Domino99
=> BandarQ
=> AduQ
=> Sakong
=> Capsa Susun
=> Bandar 66
=> Perang Baccarat (NEW GAME)
=> Bonus Refferal 20%
=> Bonus Turn Over 0,5%
=> Minimal Depo 20.000
=> Minimal WD 20.000
=> 100% Member Asli
=> Pelayanan DP & WD 24 jam
=> Livechat Kami 24 Jam Online
=> Bisa Dimainkan Di Hp Android
=> Di Layani Dengan 5 Bank Terbaik
=> 1 User ID 9 Permainan Menarik
Ayo gabung sekarang juga hanya dengan
mengklick daftar crownqq
Link Resmi CrownQQ:
Idcrownqq,com
Idcrownqq,net
Idcrownqq,org
Idcrownqq,info
BACA JUGA BLOGSPORT KAMI:
Info CrownQQ
CrownQQWIN
Berita dan Info Dunia
Entertainmensartis
Info Lebih lanjut Kunjungi
WHATSAPP : +6287771354805
LINE : CS CROWNQQ
TELEGRAM : +855882357563
SUPER BIG PROMO DI SITUS SAHABAT KARTU
JibuFuta=============================================
Hai Teman - Teman Smuanya, Yang Hobi Bermain Judi Online
Anda Merasa Capek, DEPOSIT Teruss..Tapi Tidak Pernah Withdraw ?
=============================================
Nikmati Seluruh Game Berkualitas & Raih Kemenangan Anda Di SAHABAT KARTU!!
Game Yang di Hadirkan SAHABAT KARTU Yaitu :
* Poker Online
* BandarQ
* Domino99
* Bandar Sakong
* Sakong
* BANDAR66
* AduQ
* Sakong
* Perang Baccarat
==========================================
SPECIAL PROMO KHUSUS MEMBER SETIA SAHABAT KARTU
- Minimal DP & WD Cuma Rp. 20.000
- BONUS CASHBACK 0.5% ( Setiap Hari Senin )
- REFERRAL 15% ( Seumur Hidup )
- 100% NON ROBOT & 100% TANPA ADMIN BERMAIN
- 100% GAMPANG MENANG
- JACKPOT HARIAN HINGGA JUTA RUPIAH
- MENERIMA DEPOSIT VIA PULSA XL DAN TSEL
======================================
AKSES KAMI DI LINK RESMI :
- halokartu.com
- halokartu.org
- halokartu.info
- halokartu.net
=====================
* Livechat : SAHABAT KARTU
* LINE : Cs_sahabatkartu
* Whatsapp : +85581734028
Sahabatkartu: Situs Poker Online, DominoQQ, Domino99, BandarQ Terpercaya
SAHABAT DOMINO Situs QQ Online, Agen Domino99 dan BandarQ Online Terbesar Di Asia
JibuFutasahabatdomino Memiliki Permainan Yang Mudah Dimainkan & 100% Mudah Menang Lohh..
Cukup Dengan 1 USER ID Anda Bisa Bermain 9 GAME Berkualitas :
* Poker
* Domino99
* AduQ
* Capsa Susun
* Sakong
* Bandar Poker
* BANDARQ ONLINE
* BANDAR66 ONLINE
* Perang Baccarat
+++++++++++++++++++++++++++++++
AKSES LINK ALTERNATIF TERBARU :
- sdomino99.net
- sdomino99.org
- sdomino99.info
+++++++++++++++++++++++++++++++
Juga menerima deposit via PULSA TSEL dan XL dengan rate 0.85 ya bossku :)
< Contact Us >
Info Lebih Lanjut Hubungi :
W.A : +855972468846
Line : Cs_sahabatdomino
Sahabatdomino : Situs QQ Online, Agen Domino99 dan BandarQ Online Terbesar Di Asia