Cheka na utafakari kwa bidii!

Hii ni kauli mbiu ya mdau mmoja kwenye jukwaa la majadiliano pale Jamiiforums. Yeye anasema:

Usifanye kosa kuchagua RAIS MGONJWA tukaingia hasara ya kurudia uchaguzi!

Nimecheka kwa sababu nilihitaji kucheka asubuhi hii. Ila nimeikopi nikitafakari. Jumamosi njema wadau!

Maoni

  1. endapo yupo mgombea aliyethibitika ni mgonjwa basi ni heri ashauriwe apate muda wa mapumziko. aachane na siasa

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Malezi yanavyochochea ubabe katika jamii

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Haiba ni nini?

Uislamu ulianza lini?

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Pay $900? I quit blogging

Mbinu za Kushinda Maswali ya Usaili wa Kazi - 1