Cheka na utafakari kwa bidii!

Hii ni kauli mbiu ya mdau mmoja kwenye jukwaa la majadiliano pale Jamiiforums. Yeye anasema:

Usifanye kosa kuchagua RAIS MGONJWA tukaingia hasara ya kurudia uchaguzi!

Nimecheka kwa sababu nilihitaji kucheka asubuhi hii. Ila nimeikopi nikitafakari. Jumamosi njema wadau!

Maoni

  1. endapo yupo mgombea aliyethibitika ni mgonjwa basi ni heri ashauriwe apate muda wa mapumziko. aachane na siasa

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Uislamu ulianza lini?

Heri ya mwezi mpya!

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Je! Yesu ni Mungu?

Kikao cha tathmini na mipango ya familia

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1