Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1
WANAUME wengi wanaamini wanawake, kwa kawaida, ‘wanapenda hela.’ Kwamba ukiweza kumhakikishia mwanamke 'uhakika wa kiuchumi' unakuwa umemaliza. Ingawa hatuwezi kupuuza ukweli kuwa uhakika wa 'kiuchumi' ni moja wapo ya mahitaji ya mwanamke, lakini si sahihi kuamini kuwa moyo wa mwanamke unaweza kuthamanishwa kwa fedha. Fikra hizi walizonazo wanaume [kuwa anachokihitaji mwanamke ni fedha] zimeleta matatizo mengi katika mahusiano na ndoa. Kwa mfano, wapo wanaume ambao baada ya kuhakikisha wenzi wao wamepata mahitaji ya msingi, basi wanawatelekeza kihisia. Hali hii husababisha upweke mkubwa kwa wanawake hawa wanaojikuta hawana mtu wa karibu kuwasikiliza isipokuwa vitu.
Hiki ndio kwanza nakisikia hapa. Huenda tuko wengi. Shukrani kwa kutuongezea upeo.
JibuFutaHata mimi sijakisoma, labda tukitafute...!
JibuFutamie nimekisoma. Nilikipata Machi 09 mwaka jana hapa hapa jijini Dar.
JibuFutaMie niliwahi kukisikia lakini sijawahi kukiweka machoni!:-(
JibuFutaVipi kinaeleweka au mambo zake kwa mbongo ni alinacha?
@Fadhy: Aliekisoma anasemaje, Wenzetu? Kweli tutatajirika tukikisoma? Au tutakuwa Shetani kabisa? Maana yake hua nikisoma vitabu vya dini fulani "Babylon" inafananishwa na sehemu au ulimwengu wenye dhambi zote.
JibuFutaNinachokifurahia hapa ni kwamba niko katika kundi la akinaProf Mbele, Simon Kitururu, M3 na wengine kabisa (MEN AND WOMEN OF LETTERS) ambalo BADO TU KuSOMA KITABU HICHO!
Nasema "kifo cha wengi harusi".