Uliwahi kukisoma hiki?

Maoni

  1. Hiki ndio kwanza nakisikia hapa. Huenda tuko wengi. Shukrani kwa kutuongezea upeo.

    JibuFuta
  2. Hata mimi sijakisoma, labda tukitafute...!

    JibuFuta
  3. mie nimekisoma. Nilikipata Machi 09 mwaka jana hapa hapa jijini Dar.

    JibuFuta
  4. Mie niliwahi kukisikia lakini sijawahi kukiweka machoni!:-(

    Vipi kinaeleweka au mambo zake kwa mbongo ni alinacha?

    JibuFuta
  5. @Fadhy: Aliekisoma anasemaje, Wenzetu? Kweli tutatajirika tukikisoma? Au tutakuwa Shetani kabisa? Maana yake hua nikisoma vitabu vya dini fulani "Babylon" inafananishwa na sehemu au ulimwengu wenye dhambi zote.

    Ninachokifurahia hapa ni kwamba niko katika kundi la akinaProf Mbele, Simon Kitururu, M3 na wengine kabisa (MEN AND WOMEN OF LETTERS) ambalo BADO TU KuSOMA KITABU HICHO!

    Nasema "kifo cha wengi harusi".

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Heri ya mwezi mpya!

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?