Malezi yanavyochochea ubabe katika jamii
Natamani tutafakari jambo hili kwa kina. Nyumbani tumemzoesha mtoto fujo —fimbo, makofi, matusi na aina nyingine za ubabe. Sisi wazazi tunaamini hatuwezi kulinda mamlaka yetu bila kumsababishia mtoto maumivu iwe kwenye mwili wake au hisia zake. Ukiangalia yanayoendelea nyumbani hakuna mazungumzo yenye upendo na mtoto. Tunaamini amani na utulivu kwenye ngazi ya familia ni pale tunapokuwa na watoto wasiofikiri, wasiouliza, wasiothubutu kutofautiana na wazazi ambao ndio mamlaka katika familia. Shuleni mtoto anakutana na mwalimu anayeamini njia pekee na ya uhakika kulinda heshima na mamlaka yake darasani ni vitisho, fimbo na kila aina ya ubabe kwa mwanafunzi. Ukiangalia mbinu za ufundishaji wake huoni wapi anaamini katika ushirikishwaji wa mwanafunzi. Tangu asubuhi mpaka jioni zoezi linalotawala ni wanafunzi kupokea maelekezo na kuyakariri. Mwalimu anaamini nidhamu ni pale amani na utulivu vinapotawala darasani. Hii, huenda ndio sababu shule zinahangaika na wapiga...
hahahaha kazi kwelikweli!
JibuFutaUnafikiri yaani ni kaaaaziii kwelilweli:-)
JibuFutaMwanzo mgumu, siyo? Hasa katika masuala ya UJAMAA!
JibuFutaLabda tuchunguze zaidi kuhusu jinsi tunavyohusiana na hao ndugu zetu: wakoloni wa kale kama Wingereza, Ujerumani na wenginevyo.
Maana yake huwezi ukiwa CCM ukaendesha kwa mafanikio siasa za ujamaa na kujitegemea wakati huku unaendelea kufurahia "msaada" kutoka nchini za mabepari hususan zile ambazo ziliyekuwa zinamkandamiza Mwafrika enzi za ukoloni.
Suali kwenu Mabwana Fede na Bwaya:
"Je, tunapata mafunzo gani kutoka huko Zimbabwe?"
http://news.xinhuanet.com/english2010/china/2011-02/12/c_13728225.htm
sasa hapa kilipo chama tajwa kipo katika hatua ipi kati ya hizo hapa juu?
JibuFutaHa ha ha haaa , utani mwingine bwana!!!
JibuFutanice blog
JibuFutathanks you for sharing
JibuFutai like it this blog
JibuFuta