Mkutano wa wanablogu Santiago

Ninahudhuria mkutano wa Global Voices Citizen Media Summit 2010 - Santiago, Chile tangu tarehe 6 Mei 2010

Nimepata fursa ya kukuhudhuria mkutano wa wanablogu wa jumuiya ya Global Voices unaofanyika kwenye Ukumbi wa Maktaba ya Taifa, Santiago Chile.

Moja ya vivutio vya mkutano huo ni kukutana na mwanablogu wa kitanzania aishiye Australia Bw. Joe Nambiza Tungaraza na Njeri Wangari mwanablogu wa mashairi wa Kenya.

Maoni

  1. Hongera sana, usisahau tu kutujuza yanayojiri huko. Msalimie sana kaka Mwandani na wanablogu wengine.

    JibuFuta
  2. Duh!!
    Haya twasubiri kujuzwa yaliyojiri na hii itatusaidia tuJIELEWE zaidi
    Blessings Kaka

    JibuFuta
  3. Ahsante kwa taarifa na kama Da Mija na Mzee wa CChangamoto nami nasema usikose kutujuza kinachoendelea. Upendo Daima.

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Pay $900? I quit blogging

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Heri ya mwezi mpya!

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Strictly gospel na mijadala ya kiimani

Ukuaji wa Kiakili na Kimwili kwa Mtoto wa Miaka 0 – 3