Mgomo wa Mabasi ya Abiria Mjini Moshi

 Wakazi wa Manispaa ya Moshi na vitongoji vyake leo wameonja adha ya kukosa usafiri kufuatia mgomo wa mabasi  yanayotoa huduma ya usafiri mjini hapa, maarufu kama daladala.


 Kituo kikuu cha Mabasi mjini Moshi kama inavyoonekana dakika chache zilizopita

 Mgomo huo umetokea kama hatua za waendeshaji wa huduma hiyo kupinga kupanda kwa kiwango cha ushuru kilichotangazwa na Halmashauri ya Manispaa hiyo.

Vibao vipo, magari hayaonekani

 Kwa  mujibu wa tangazo la Halmashauri hiyo inayoongozwa na CHADEMA, ushuru huo umepanda kwa asilimia 50 kutoka Tsh. 1000 zilizokuwa zikilipwa awali mpaka Tsh 1500 zinazotakiwa kuanza kulipwa mara moja.

Kituo kikiwa tupu, huku Polisi wa 'kutuliza' ghasia wakiwa kazini
Tayari Katibu wa CHADEMA mkoani Kilimanjaro, Bw. Lema, kupitia Radio za FM mjini hapa ametoa tamko la kupinga vikali ongezeko hilo, akiliita kuwa 'hujuma' inayofanywa na baadhi ya watendaji wa Halmashauri hiyo inayoongozwa na chama chake kuonyesha kuwa kimeshindwa kazi.

Maoni

  1. Hi there to every body, it's my first visit of this webpage; this weblog carries amazing and in fact excellent information in support of visitors.

    Feel free to surf to my page ... jeremy scott wings 2.0
    Feel free to surf my blog post :: jeremy scott shoes

    JibuFuta
  2. Hi there, I found your site by way of Google while searching for a comparable topic, your site came up, it seems to be great.
    I have bookmarked it in my google bookmarks.


    Hi there, just turned into aware of your weblog through Google, and located that
    it is truly informative. I'm gonna be careful for brussels. I will appreciate if you happen to proceed this in future. Many people will probably be benefited from your writing. Cheers!

    Look into my blog comment augmenter vues youtube

    JibuFuta
  3. buy ERhJqQUL [URL=http://www.cheapguccireplica.tumblr.com/]gucci online shop[/URL] to take huge discount kEyAJTyz [URL=http://www.cheapguccireplica.tumblr.com/ ] http://www.cheapguccireplica.tumblr.com/ [/URL]

    JibuFuta
  4. Nice blog and good information, thanks for sharing

    JibuFuta
  5. i like it this blog and information

    JibuFuta
  6. wao nice blog and article

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Haiba ni nini?

Uislamu ulianza lini?

Pay $900? I quit blogging