Nilipokutana na Mshairi Serina wa Upande Mwingine

Katika mkutano wa wanablogu na waandishi wa habari za kiraia uliofanyika Nairobi, Kenya, nimebahatika kukutana na mwanablogu niliyekuwa na hamu sana ya kuonana naye. Naye si mwingine bali, dada Serina Kalande, anayetuandikia kwenye blogu ya Upande mwingine.
Na Serina Kalande, wa Upande mwingine. Picha: Deogratias simba

Ni dada mkarimu, mpole, mwanana na mwema sana kuzungumza naye. Serina, asante kwa baraka ya kukuona.

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Uislamu ulianza lini?

Haiba ni nini?

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Mbinu za Kushinda Maswali ya Usaili wa Kazi - 1