Tembelea Website mpya

Pole na shuguli za kutupasha habari mbali mbali zinazotokea ndani na nje ya Tanzania.

Naomba nafasi katika blog yako ili niwajulishe ndugu zangu watanzania kwamba nimetengeneza website www.rusumo.com ambapo wataweza kusikiliza nyimbo mbali mbali za Tanzania kama vile taarab,segere,dance,bongo flava,gospel na nyimbo za kigeni kama vile raggae,za kihindi,pop na nyengine nyingi tu.

Pia kuna dictionary ya kisasa kabisa ambayo ina lugha zote za Ulaya na baadhi ya lugha za Asia,katika dictionary hii baada ya kupata tafsiri ya neno pia unaweza kuona picha za neno hilo kwa kubofya upande wa pili wa Ukurasa.

Kadhalika wadau wataweza kuona hali ya hewa na wakati wa sehem mbali mbali za dunia.
Karibuni sana wadau, ni mimi

MSAFIRI ISMAIL RUSUMO.
www.rusumo.com

Maoni

  1. This guy seems to be uncivilized. See the message below that I copied from his website (when you click the music section). Is Michuzi supposed to accept his announcement? It is his blog and he can decide whatever he wants. Yes we know that Michuzi is bullshit, religiously biased and a dangerous government SHUSHUSHU (that is why he travels a lot) but I think the reaction of this guy is also too much! I am staying away from his website!
    *******************************

    Special message to Issa Michuzi

    Nimekutumia kama mara kumi ujumbe ambao ungeuweka katika blog unayoiita ya jamii ili watanzania wenzangu na watu wote wa Africa ya Mashariki wajue kuwepo kwa website hii, Nimefanya hivyo kwa kujua kwamba ni blog ya jamii na kwa vile na mie ni sehemu ya jamii na lengo langu ni kuwanufaisha wanajamii wote.

    Kumbuka hunibanii mimi isipokuwa wanajamii wote ambao wangependa kufaidika na mambo niliyoyaandaa. Sasa nimeamini kwamba Tanzania inashindwa kupata maendeleo kutokana na kuwepo watu kama nyie akina Michuzi, wenye roho za Korosho,yakhe umenikera kiasi kwamba ningekuwa karibu yako ningekupiga kibao. Mwanamme mzima kazi kulialia tu "Blog ya jamii yapigwa vita"; Nani akupige vita wewe? Mie lengo langu ni kutaka kushare elim aliyonijaaliwa M/Mungu na wanajamii wote, hasa ya watu wa Africa ya mashariki. Nakushauri usiite glob yako glob ya jamii wakati wewe ni mmoja wa wasiopenda maendeleo ya jamii.

    JibuFuta
  2. Yeah, that's the tone someone gets. I think he is stupid and there's just no need to visit his website

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Haiba ni nini?

Uislamu ulianza lini?

Pay $900? I quit blogging