Changamoto za kublogu zinaendelea

Kwa siku kadhaa pamekuwapo tatizo la wavu wa mtandao hapa nilipo. Hivyo nilishindwa kuweka chochote hapa. Nadhani hali ni shwari, nitaweka chochote kuanzia sasa. Karibuni tuendelee.

Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Uislamu ulianza lini?

Uislam: Ndoa na mali havihusiani?

Tumia Mbinu Hizi Kuelewa Unachokisoma -3

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Kama sio utumwa ni nini hiki?

Haiba ni nini?