tag:blogger.com,1999:blog-15356729.post5195961263590119261..comments2024-03-28T11:26:49.642+03:00Comments on Jielewe: Unafiki na kutokujiamini kwetuChristian Bwayahttp://www.blogger.com/profile/13141394805539015266noreply@blogger.comBlogger10125tag:blogger.com,1999:blog-15356729.post-33793690067951275022013-08-29T16:15:55.912+03:002013-08-29T16:15:55.912+03:00I think there z aloot to discuss through dis thin...I think there z aloot to discuss through dis thing hypocrite coz t leads also to povertyAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-15356729.post-14317404665793759482008-12-18T14:06:00.000+03:002008-12-18T14:06:00.000+03:00nakubaliana nawe bwaya. unafiki unaletwa na ubinaf...nakubaliana nawe bwaya. unafiki unaletwa na ubinafs mkubwa alionao binadamu wa leo. unaona linaingia suala la chakula hapa hata kama hujaliongelea sana kwamba ni kidogo. tangu lini chakula kikawa kingi? ni kidogo milele ba tunagawana kila kidogo tulichonacho.<BR/><BR/>waafrika sisi tunaamini katika usawa ndio maana sihitaji appointment yako kuja kwangu, we njoo tu hali utakayokut ndo hiyo sio kuanza kudanganyana mala niko bize, mara nini. sisi sote ni wamoja, kwangu ni kwako na kwako ni kwangu sio uniombe ruhusa kama vile unakuja kunichinja. unafiki wa kizungu ni pamoja na uchoyo.<BR/><BR/>kuna unafiki wa kimataifa wa kijifanya wanakusaidia uendeleee wakati wanachukua raslimali zako. unafiki unaukaribu na uzungu na labda ndio sababu wazungu wanakuja kuhubili injili ya upendo kwetu wakati wanapigana vita kama iraq na kwingine.<BR/><BR/>unafiki unaendana na uchoyo, ubinafsi na fitina,<BR/>nimetaupu vya kutoshakamala Lutatinisibwa Lutabasibwahttps://www.blogger.com/profile/06207381893940710959noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-15356729.post-57473926304840156002008-12-18T12:01:00.000+03:002008-12-18T12:01:00.000+03:00Kwa nini tusiweze kuwa wakweli kwa nafsi zetu na w...Kwa nini tusiweze kuwa wakweli kwa nafsi zetu na watu wanaotuzunguka hata kama ukweli huo utasababisha kutokueleweka? Kipi afadhali, kuwa mnafiki ili kujenga mahusiano yasiyo ya kweli ama kutokueleweka kwa kuwa mkweli? Na je, huu utamaduni wa kuoneana haya bado tunauhitaji katika jamii zetu? Gharama za unafiki ni kubwa nionavyo mimi.Christian Bwayahttps://www.blogger.com/profile/13141394805539015266noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-15356729.post-81070066082079903962008-12-18T07:27:00.000+03:002008-12-18T07:27:00.000+03:00bado natafakari,Nitapita baadaebado natafakari,<BR/>Nitapita baadaeAnonymoushttps://www.blogger.com/profile/17192821931569912610noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-15356729.post-41108806743587737022008-12-17T22:56:00.000+03:002008-12-17T22:56:00.000+03:00Nadhani nimesahau mila nyingi...maisha ya uingerez...Nadhani nimesahau mila nyingi...maisha ya uingereza yaweza kumbadili mtu...lakini tena kwa njia nzuri. Kwa mfano mtu akinipigia simu na niko kwenye shughuli nyingine, humwomba ruhusa kumpigia baadaye na hufanya hivyo pia...sio maneno matupu tu!<BR/>Kisha nchi za ulaya ni vigumu kumtembelea mtu bila kumjulisha kuwa utapitia au yeye kukukaribisha kwake... watu wana mipango yao na waweza simamishwa mlangoni maana hukutarajiwa...utamlaumu nani?Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-15356729.post-51350418763321539122008-12-17T20:08:00.000+03:002008-12-17T20:08:00.000+03:00Unafiki!Mi huwa nauweka kundi moja na uongo na use...Unafiki!<BR/>Mi huwa nauweka kundi moja na uongo na usengenyaji. Nadhani vinayagusa maisha ya watu wengi kwa namna moja ama nyingine.Fadhy Mtangahttps://www.blogger.com/profile/10322331153810581894noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-15356729.post-29154289465161985272008-12-17T19:48:00.000+03:002008-12-17T19:48:00.000+03:00Naam yatupasa tujielewe vyema ili kujijengea musta...Naam yatupasa tujielewe vyema ili kujijengea mustakabali mpya wa maisha,ukijielewa utajua nini kinachokuzunguka, na utaelewa namna ya kukabiliana nacho, ni muhimu sana kujielewa na kujitambua ulipo unapoelekea na uliotokea.<BR/><BR/>WakatabahuRashid Mkwindahttps://www.blogger.com/profile/10110292148764605895noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-15356729.post-38697339086838005142008-12-17T18:20:00.000+03:002008-12-17T18:20:00.000+03:00Nimepita hapa leo jioni.Bado natafakari. Nitatoa m...Nimepita hapa leo jioni.<BR/>Bado natafakari. Nitatoa mawazo yangu kesho asubuhi.Anonymoushttps://www.blogger.com/profile/17192821931569912610noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-15356729.post-24168050619771077722008-12-17T17:19:00.000+03:002008-12-17T17:19:00.000+03:00Kama ulivyosema Kaka Bwaya. Unafiki una sehemu kub...Kama ulivyosema Kaka Bwaya. Unafiki una sehemu kubwa ya maisha na si kuwa ni utamaduni, bali ni desturi za wengi. Tumelelewa katika maisha ambayo kwa namna moja ama nyingine yanapalilia unafiki na unapoamua kuwa mkweli na muwazi na ama kuweka unafiki pembeni, wapo wanaokuangalia vibaya wakidhani ni mkatili kwa kuyonesha hali halisi ya hisia zako. Unajua mwisho wa unafiki ni nini? UMBEA NA SHUTUMA BAADA YA MHUSIKA KUONDOKA kwa kuwa huwezi kumwambia akiwepo.<BR/> Ni mambo yaliyotuweka tulipo kama nchi na twaweza kubadilika na kunufaikaMzee wa Changamotohttps://www.blogger.com/profile/10491704592061579729noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-15356729.post-71979629594759170242008-12-17T12:54:00.000+03:002008-12-17T12:54:00.000+03:00Bwana; Kwa mtazamo wangu naona hiyo ya kukutaa cha...Bwana; Kwa mtazamo wangu naona hiyo ya kukutaa chakula wakati una njaa inawezekana sababu ya aibu na pia kama ulivyosema kutaka kubembelezwa. Na hilo la ujio wa rafiki ni yale yale ya muda. yaani kama kungekuwa na ule uratibu wa kupeana habari kesho nakuja saa moja basi tungeweza kuwaambia rafiki zetu aise mwenzako kesho muda huo nina kazi njoo muda fulani. Pia labda kwa sababu ya UPENDO, mila na desturi basi amekuja na wewe unaonyesha furaha tu wakati hupendi. Lakini ungemwambia ukweli kila kitu kingeenda safi wewe ungekuwa na furahi na pia rafiki angekuwa na furaha. sijui kama nimeeleweka!!Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.com