Kurudi Bloguni

Habari za miaka wapenzi wana-blogu. Tafadhali karibuni sana kwenye blogu yetu iliyokuwa mapumzikoni kwa takribani miaka miwili. Sababu za kupotea zilikuwa za kijamii na nje kabisa ya udhibiti wa kawaida.

Sasa tunaweza kuahidi kuwa blogu yetu imerejea rasmi kwa nguvu mpya na mtazamo mpya tangu dakika hii. Na masuala ya kijamii yanayohusiana na mahusiano yetu na nafsi zatu pamoja na mahusiano yetu na wanaotuzunguka, tabia zetu, mitazamo yetu, na kadhalika, yataendelea kupewa kipaumbele kwa sura mpya zaidi.

Karibuni sana.

Maoni

  1. Hii ni habari njema kabisa. Karibu tena ulingoni.

    JibuFuta
  2. Asante sana Prof. Mbele kwa ukaribisho. Nafurahi umekuwa mwanablogu aliyedumu kwa muda mrefu pasipo kupotea potea kama sisi. Hongera sana. Tuko pamoja!

    JibuFuta
  3. karibu sana katika michakato ya kuhabarisha jamii juu ya masuala mbalimbali yanayojira kila kukicha .hongera sana kwa kuendelea kuwa nasi.

    JibuFuta
  4. Asante sana Najitambua. Karibu katika safari ya kujitambua!

    JibuFuta
  5. Kaka Bwaya hii ni habari njema sana nami nasema KARIBU SANA MWANA MPOTEVU maana nimepeleka habari polisi ila sikupata jibu:-)

    JibuFuta
  6. Asante sana Yasinta kwa mapokezi. Nimetoka Polisi kuwaambia nimejisalimisha mwenyewe.

    JibuFuta
  7. Great site you have here.. It's hard to find excellent writing like yours these days. I honestly appreciate individuals like you! Take care!!
    See my blog Android Free Download
    thankyou

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Zilisomwa zaidi wiki hii...

Mambo Yanayoweza Kugusa Moyo wa Mwanamke-1

Maana ya Saikolojia na Nafasi Yake Katika Jamii -1

Haiba ni nini?

Uislamu ulianza lini?

Pay $900? I quit blogging